Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
nakumbuka kuna manzi wangu mmoja miaka ya 2016 tulikuwa tunapendana sana ila nilivyoona
1.kila siku asubuhi mimi ndio naanzisha good morning na nisipoanzisha mpka inafika saa 5 mchana hajanicheki nilijua huyu sio wangu tena japo naitwa niliopo penzini
2.ikifika usiku najikausha mpaka inafika saa 4 na nusu usiku hajanitafuta kila siku mpka mimi nimtafute ndo tuzungumze nilijua huyu sio wangu tena japo naitwa mpenzi
3.nilivyoona mpenzi wangu hana story na mimi kama ilivyokuwa zamani tukizungumza kidogo anahitaji kupumzika nilijua huyu sio wangu tena japo naitwa mpenzi
4.nikiona ananitafuta alafu baada dakika kadhaa ananipiga mzinga wa vocha basi nilijua huyu sio wangu tena japo ananiita mpenzi
haya endeleaaaaaa
1.kila siku asubuhi mimi ndio naanzisha good morning na nisipoanzisha mpka inafika saa 5 mchana hajanicheki nilijua huyu sio wangu tena japo naitwa niliopo penzini
2.ikifika usiku najikausha mpaka inafika saa 4 na nusu usiku hajanitafuta kila siku mpka mimi nimtafute ndo tuzungumze nilijua huyu sio wangu tena japo naitwa mpenzi
3.nilivyoona mpenzi wangu hana story na mimi kama ilivyokuwa zamani tukizungumza kidogo anahitaji kupumzika nilijua huyu sio wangu tena japo naitwa mpenzi
4.nikiona ananitafuta alafu baada dakika kadhaa ananipiga mzinga wa vocha basi nilijua huyu sio wangu tena japo ananiita mpenzi
haya endeleaaaaaa