mia.ina maana gani?mwanakijiji@jamiiforums.com(kwenye gazeti la mwanahalisi).mia
Mimi nilitumiwa email yenye baadhi ya post hadi leo bado natumiwa ikiwa na selected posts. Ndivyo nilivyoijua
Binafsi sikuambiwa, sikuwahi kuona mtu yoyote akisearch ila nili google kapersky antivirus katika majibu Jf ilikuwepo na nilipo select nikagundua kuna mambo mengi mazuri.
- Je, kuna mtu alikuambia juu ya JF?
- Uliona mtu akisearch?
kwa sasa JF imekuwa zaidi ya dozi ya kutwa mara tatu mpaka wife anadai JF is second wife/ nyumba ndogo
karibu
Kuna thread Asha Dii alishaianzisha ikiwa na same mantiki na hii. Hamna haja ya kujaza thread marudio.
we msahaulifu!umesahau nilivyokuambia ujiunge.....kweli una mambo mengi!Sikumbuki!