pet geo pet
JF-Expert Member
- Jun 30, 2018
- 461
- 644
Wakuu habarini,
Naanza kuelezea kisa changu kimoja hivi kilichonitokea mwaka 2016.
Ilikuwa siku ya match kati ya YANGA VS TP- MAZEMBE watu tulingia bure siku hiyo pia na mimi nilizama kucheki game kwenye kiwanja cha M.W.M stadium nikiwa na simu yangu kubwa nimenunua siku sio nyingi.
Kumbe wakati nachukua selfie pale uwanjani wauni wananicheki tu,umefika muda wa kutoka afu nilikuwa nimevaa jezi ya simba Niko peke yangu naelekea geto maeneo ya ubungo Riverside.
Nilikwapuliwa simu yangu na jamaa sijui alitokea wapi tu,nikajaribu kumkimbiza nikashangaa napigwa mjeki na watu wawili nisio wajua ndo nikawa nimepoteza simu yangu mpya kabisa aina ya sum sang.
Kisa cha pili, ndo Mara ya kwanza kufika Dar mwaka 2013 pale Ubungo nimeshuka zangu na begi nikatoka mule ndani ya stendi nikaanza safar ya kwenda Gomz, kwa bahati mbaya mkojo ukanibana Yale yale maeneo ya ubungo,nikasema kimoyo moyo ngoja nikojoe hapa hapa vile najaribu kutoa mashine tu nianze kukujoa wakaja jamaa kama watatu wasema sisi ni maasikali kuanzia sasa hivi upo chini ya ulinzi kwa kosa la kuchafua mazingira unatakiwa kulipa faini ya million 50, ilikuwa Usk muda wa SAA sita hivi.
Nikawajibu hiyo hela sina,wakaanza kunisachi kwa bahati mbaya nilikuwa na hela ya ada kama laki mbili hivi wakaichukua yote ,kisha kuuanza kupotea mmojammoja,akabaki mmoja tu, nae nikashangaa ananikimbia nikawa nmepoteza ivyo pesa ya ada.
Kwa matukio hayo sitokuja kuibiwa tena Dar maishani.
Naanza kuelezea kisa changu kimoja hivi kilichonitokea mwaka 2016.
Ilikuwa siku ya match kati ya YANGA VS TP- MAZEMBE watu tulingia bure siku hiyo pia na mimi nilizama kucheki game kwenye kiwanja cha M.W.M stadium nikiwa na simu yangu kubwa nimenunua siku sio nyingi.
Kumbe wakati nachukua selfie pale uwanjani wauni wananicheki tu,umefika muda wa kutoka afu nilikuwa nimevaa jezi ya simba Niko peke yangu naelekea geto maeneo ya ubungo Riverside.
Nilikwapuliwa simu yangu na jamaa sijui alitokea wapi tu,nikajaribu kumkimbiza nikashangaa napigwa mjeki na watu wawili nisio wajua ndo nikawa nimepoteza simu yangu mpya kabisa aina ya sum sang.
Kisa cha pili, ndo Mara ya kwanza kufika Dar mwaka 2013 pale Ubungo nimeshuka zangu na begi nikatoka mule ndani ya stendi nikaanza safar ya kwenda Gomz, kwa bahati mbaya mkojo ukanibana Yale yale maeneo ya ubungo,nikasema kimoyo moyo ngoja nikojoe hapa hapa vile najaribu kutoa mashine tu nianze kukujoa wakaja jamaa kama watatu wasema sisi ni maasikali kuanzia sasa hivi upo chini ya ulinzi kwa kosa la kuchafua mazingira unatakiwa kulipa faini ya million 50, ilikuwa Usk muda wa SAA sita hivi.
Nikawajibu hiyo hela sina,wakaanza kunisachi kwa bahati mbaya nilikuwa na hela ya ada kama laki mbili hivi wakaichukua yote ,kisha kuuanza kupotea mmojammoja,akabaki mmoja tu, nae nikashangaa ananikimbia nikawa nmepoteza ivyo pesa ya ada.
Kwa matukio hayo sitokuja kuibiwa tena Dar maishani.