mbenda said
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 1,019
- 1,945
Asalam alaykum mabibi na mabwana, poleni kwa majukumu ya kazi za kila siku na kulea watoto.
Je, wewe ni mke au mume?
Je, umeoa au kuolewa?
Ndoa yako bado ina Furaha na amani?
Unaishi vile ulivyotegemea kalba ya ndoa?
Haya ni baadhi ya maswali muhimu kujiuliza ikiwa upo ndani ya ndoa. December 12 mwaka uliopita tulipeleka barua ya posa kwa familia fulani hukoo Sinza sasa wakati tunarudi mtu niliengozana nae akaniambia hivi.
Wanawake wengi wanategemea kupata raha ndani ya ndoa zao. Ikiwa imetokea tofauti hapo kuna uwezekano mkubwa sana WA ndoa kuyumba au kuachana kabisaaaaa.
Siku moja nikamuuliza Bi harusi wangu mtarajiwa unagemea nini ndani ya ndoa yako? Akanijibu, AMANI, FURAHA, KUSIKILIZANA NA UPENDO. Kiufupi nilifarijika sana kwa majibu haya.
Swali linakuja, Je watu wote wanaishi vile walivyotegemea ndani ya ndoa zao?
Je, wewe ni mke au mume?
Je, umeoa au kuolewa?
Ndoa yako bado ina Furaha na amani?
Unaishi vile ulivyotegemea kalba ya ndoa?
Haya ni baadhi ya maswali muhimu kujiuliza ikiwa upo ndani ya ndoa. December 12 mwaka uliopita tulipeleka barua ya posa kwa familia fulani hukoo Sinza sasa wakati tunarudi mtu niliengozana nae akaniambia hivi.
Wanawake wengi wanategemea kupata raha ndani ya ndoa zao. Ikiwa imetokea tofauti hapo kuna uwezekano mkubwa sana WA ndoa kuyumba au kuachana kabisaaaaa.
Siku moja nikamuuliza Bi harusi wangu mtarajiwa unagemea nini ndani ya ndoa yako? Akanijibu, AMANI, FURAHA, KUSIKILIZANA NA UPENDO. Kiufupi nilifarijika sana kwa majibu haya.
Swali linakuja, Je watu wote wanaishi vile walivyotegemea ndani ya ndoa zao?