Walec
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,361
- 3,295
- Thread starter
- #2,081
Babu hyo system sio poa...majiran watahamaBado Nini Hapa Wapwa?View attachment 1711152
Babu hyo system sio poa...majiran watahamaBado Nini Hapa Wapwa?View attachment 1711152
Big upMiezi 9 iliyopita wakati nasoma huu uzi kwa mara ya kwanza sikuw na getto...nilihamasika sana na kupania kuwa na getto langu...leo nipo getto...naenjoy TRACE MUSIC, TAARIFA YA HABARI na games tofauti za soka...hasira zinazidi kuzidi na naamini miezi 6 ijayo nitakuwa mbali zaidi...GOD BLESS.
safi sana mkuu mi bdo cjaanza ilo life asee bdo najipanga soon ntarafuta aseeMiezi 9 iliyopita wakati nasoma huu uzi kwa mara ya kwanza sikuw na getto...nilihamasika sana na kupania kuwa na getto langu...leo nipo getto...naenjoy TRACE MUSIC, TAARIFA YA HABARI na games tofauti za soka...hasira zinazidi kuzidi na naamini miezi 6 ijayo nitakuwa mbali zaidi...GOD BLESS.
Big time mwamba...kwaiyo saiz unatembea na funguo tuMiezi 9 iliyopita wakati nasoma huu uzi kwa mara ya kwanza sikuw na getto...nilihamasika sana na kupania kuwa na getto langu...leo nipo getto...naenjoy TRACE MUSIC, TAARIFA YA HABARI na games tofauti za soka...hasira zinazidi kuzidi na naamini miezi 6 ijayo nitakuwa mbali zaidi...GOD BLESS.
nakuombea Mungu akufanyie wepesisafi sana mkuu mi bdo cjaanza ilo life asee bdo najipanga soon ntarafuta asee
Ndio mkuu....ata carpet la chin .......sina ...but BOOFER Ndo ilikua ya kwanzavKwamba upo kweny maintenance sio
Ur grown up"bwana mdogo umeshakuw mkubwa kamata hii elfu 50 ,kesho umwambie mama yako akupe ndoo 2 na sufuria 3 mengine yatakuja mbele ya safari."
kuna wazaz n wakatili ila nawashukuru hapa nilipofika sasaivi wahuni wananicheki "oya mwana upo getho tuje kucheki mechi.
zaman nikitongoza mademu walikuw wanauliza "unaishi kwenu au kwako"
Kama una uhakika na hio kaz .. Unapanga vzr tuu .....but kwa kufanya negotiation na mwenye nyumbaHivi unaweza kuanza kupanga geto kwa mshahara wa 200,000 kwa mwezi? Kumbuka hapo huna kitu hata kimoja huna hata kijiko hunaaaa.
LinaitwajeKama unatumia fb kuna groups za magheto yamepambika haswa utafurahi kusafisha macho.
Inawezekana kiongozi japo inachukua muda kidogo...Hapo inabidi ufanye saving kwa muda wa japo 3 months...let say kila mwezi unaweka 120k akiba (I assume unaishi na kula nyumbani sasa hivi) ..baada ya miezi mitatu unapata 360...hapo unalipia room ya 40k miezi mitatu (120)...then 240 inayobaki unanunua jiko la gesi, sufuria na godoro (anzia godoro used kwanza as long as una nia ya kweli ya kutoka home). Mpaka hapo maisha yanakuwa yameanza.Hivi unaweza kuanza kupanga geto kwa mshahara wa 200,000 kwa mwezi? Kumbuka hapo huna kitu hata kimoja huna hata kijiko hunaaaa.
Andika ghetto nenda option ya groups utaona.Linaitwaje
udalali wa simu mzee ila hii biashara imekuwa ngumu mnooo, na ela ninazopata ni buku, haizidi buku 10 na mpaka issue itokee mzeeMkuu 29 ukiachana na kutafuta kazi hamna harakati yoyote uwa unapiga hata mara moja moja dili likitokea