airwing
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 306
- 397
Habari za mda huu, Wana jamvi wenzangu
Kama uzi unavyojielezea, kuna watu wengi wanatamani kumiliki mjengo mjini lakini hawajui, waanzie wapi, wapitie wapi, wafanye Nini, watililike vipi hatua kwa hatua za ujenzi na hivyo kukamilisha Ndoto zao.
Kwa wewe mwenye uelewa, au ulifanikisha katika hili tunaomba tips zako, na vile ulivyofanikisha kusimamisha mjengo mjini.
NB: Mimi bado sijafanikisha Ila naamini Kuna vitu vingi nitajifunza hapa, Karibuni.
Kama uzi unavyojielezea, kuna watu wengi wanatamani kumiliki mjengo mjini lakini hawajui, waanzie wapi, wapitie wapi, wafanye Nini, watililike vipi hatua kwa hatua za ujenzi na hivyo kukamilisha Ndoto zao.
Kwa wewe mwenye uelewa, au ulifanikisha katika hili tunaomba tips zako, na vile ulivyofanikisha kusimamisha mjengo mjini.
NB: Mimi bado sijafanikisha Ila naamini Kuna vitu vingi nitajifunza hapa, Karibuni.