Ginner
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 1,459
- 1,832
MLEVI mmja
alioa mke. Mkewe alikuwa haja2lia hata kidogo.siku
moja mkewe akiwa anajivinjari na msela,MLEVI akarud
hom. mkew akamwambia yule msela usiondoke,lala
hvo hvo huyo mlev hatagundua..bac mlev akapanda
kitandan wote watatu wakalala..baad ya mda kdg mlevi
akahesab miguu na kuona ipo sita,akamshtua
mkewe,"mke wangu,mbona miguu ipo sita??"....mkewe
akamjib kwa ukal,.toka hapa na pombe zako,miguu sita
itoke wap heb shuka kitandan uhesab vizuri..mlev
akashuka,akawasha
taa,akahesab..MOJA..MBILI..TATU..NNE....ANHAA KUMBE
KWELI NILIKOSEA KUHESABU,SAMAHAN MKE WANGU
alioa mke. Mkewe alikuwa haja2lia hata kidogo.siku
moja mkewe akiwa anajivinjari na msela,MLEVI akarud
hom. mkew akamwambia yule msela usiondoke,lala
hvo hvo huyo mlev hatagundua..bac mlev akapanda
kitandan wote watatu wakalala..baad ya mda kdg mlevi
akahesab miguu na kuona ipo sita,akamshtua
mkewe,"mke wangu,mbona miguu ipo sita??"....mkewe
akamjib kwa ukal,.toka hapa na pombe zako,miguu sita
itoke wap heb shuka kitandan uhesab vizuri..mlev
akashuka,akawasha
taa,akahesab..MOJA..MBILI..TATU..NNE....ANHAA KUMBE
KWELI NILIKOSEA KUHESABU,SAMAHAN MKE WANGU