Mme karudi nyumbani chakari….netwek imekata…..mke anampokea mme wake na kumvua nguo ili amlaze kitandani……
Mme: We ma hick hick maaya hick hick…we maaya..niashe hick hick….nashema niashe hick hick….nampenda mke wangu…
Kinafata kibao kikal kinachomwachia mamsapu alama ya kudumu katika risepsheni yake….
Ipi itakua reaction ya mamsapu?
Hapa nazungumzia ulevi na uadilifu....
Nawatakia maandilizi mema ya ujio wa Masiha....mbege na bia kwa wingi!
Mme: We ma hick hick maaya hick hick…we maaya..niashe hick hick….nashema niashe hick hick….nampenda mke wangu…
Kinafata kibao kikal kinachomwachia mamsapu alama ya kudumu katika risepsheni yake….
Ipi itakua reaction ya mamsapu?
Hapa nazungumzia ulevi na uadilifu....
Nawatakia maandilizi mema ya ujio wa Masiha....mbege na bia kwa wingi!