Mm wana JF..ebu fikirieni hili imekaaje?...nadhani ni coincidence ila hii kitu kidogo imenichenguwa. Tumempoteza SYLLESAID MZIRAY ( Super Coach) siku ya uchaguzi na kuna Mgombea wa Urais mwenye same last name- PETER MZIRAY (APPT). Isije kuwa hii ndiyo ile issue ya Mzee Yahaya. Huwenda ilimjia ikiwa imechakachuka na Antenal yake ikashindwa kuinasa vizuri? This is just me thinking aloud!!!