Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,052
- 12,906
Naomba kufahamishwa ule mpango aliousema mkuu wa mkoa wa Dar es salaam ndugu Makonda mwaka jana kua maduka yote ya magari kufikia Disemba 31. 2017 yatakua yamehamia kigamboni umefikia wapi?
Bado unaendelea au ulisimama?
Ahsante.
Bado unaendelea au ulisimama?
Ahsante.