Ulazima wa Kiingereza cha Rais Samia ziarani nchini Kenya

Kiingereza anachoenda kuongea ni cha kusoma, na kusoma anaweza. Ww sema hutaki aongee hicho kiingereza ili kumfichia aibu Magufuli maana alikuwa hakiwezi. Asiyejua kiingereza huku kwetu kuna uchambuzi wa hicho atakachokuwa ameongea.
Nyumbu unafurahisha sana.

Maana wakenya wanakijua Kiswahili, lakini pia hadhira lengwa inawahusu na watanzania ambao nao wanakijua Kiswahili.

Hicho Kiingereza cha kusoma kwenye Karatasi ni kwa ajili ya nani haswa?
 
Kiswahili ni lugha ya kupigia Majungu na kufanyia ushirikina. Ni lugha duni isiyoweza kukusogeza kokote kwa maana, zaidi ya kuwasiliana na wanyonge a.k.a makondoo wenzako.
Unashindwa kusogea popote kwa ajili ya Kiswahili au unashindwa kusogea popote kwa sababu ya mipango duni ya serikali yako?!
 
Tupeleke watoto shule ...tuache kujificha kichaka cha kiswahili....watoto waweze compete karne hii yenye ushindani mwingi sana

Mimi kwangu ni mwiko mtoto wangu kusoma shule ya kiswahili, nitafanya hata wizi wa mchana kweupe kuhakikisha mtoto wangu anasoma shule ya Mtaala wa kiingereza. Sina muda na uzalendo uchwara wa kufagilia kiswahili.
 
Kenya mtaaniu wanaongea Kiswahili, hata kiongozi akiwa anahutubiua wananchi naongea Kiswahili, taarifa ya habari mara nyingi pia wanasoma pia kwa Kiswahili Kikwete alipohutubia Bunge la Kenya alitumia Kiswahili

Tofauti na Uganda, waganda wengi Kiswahili hawafahamu
Upo sahihi kwa asilimia zote!!

Sema wanachonifurahisha Waganda, Kiswahili hawakijui, Kiingereza wanakijua hata kuwazidi Wakenya, lakini huwezi kuwakuta wakileta nyodo za kukijua Kiingereza!!
 
Nyumbu unafurahisha sana.

Maana wakenya wanakijua Kiswahili, lakini pia hadhira lengwa inawahusu na watanzania ambao nao wanakijua Kiswahili.

Hicho Kiingereza cha kusoma kwenye Karatasi ni kwa ajili ya nani haswa?

Hahutubii watanzania bali bunge la Kenya. Angekuwa anaenda kuongea na waganga wa Jadi na wachawi angeongeq kiswahili, maana kiswahili ni kwa ajili ya ushirikina tu. Jiwe alikuwa hajui kiingerezacha kunyooka, ndio maana akawa anajifanya mzalendo kuongea kiswahili na kuishia kuchomeka maneno ya kiingereza kwa lafudhi ya kizinza. Acha mama aongee kiingereza, ww baki ukilinda kaburi la dhalimu hapo chattle.
 
nitafanya hata wizi wa mchana kweupe kuhakikisha mtoto wangu anasoma shule ya Mtaala wa kiingereza
Now i know why you are stupid.

Nimeamua niandike kizungu maana nina uhakika hata nyumbu huwa wanasikia na kuelewa kizungu.
 
Badala ya kukaa nyumbani na kuchapa kazi, anakwenda kutuletea Corona tu. Kuna uharaka gani wa kwenda huko kulikoshamiri huo ugonjwa? Sio lazima kila unapoalikwa unakwenda kwenda tu. Watch your steps Madam President.
 
"Odhiambo Cairo" kwa kilugha chetu ni mtu mwenye mtindio wa ubongo.

Huwa tunamuita ODHIAAMBO, yaani tukimaanisha TAAHIRA au mtu mwenye fyuzi chache.
Kwa kweli Jiwe alikuwa na wafuasi wehu kabisa . Na kwa jinsi nilivyokusoma hatuhitaji kuendelea na mjadala huna hoja . Period
 
Usijali sisi Wakenya hupenda sana kukisikiliza Kiswahili cha waTZ. Rais Kikwete alipolihutubia bunge letu, alianza kwa kiingereza ila wabunge walimshinikiza kuongea Kiswahili.
 
Upo sahihi kwa asilimia zote!!

Sema wanachonifurahisha Waganda, Kiswahili hawakijui, Kiingereza wanakijua hata kuwazidi Wakenya, lakini huwezi kuwakuta wakileta nyodo za kukijua Kiingereza!!
Kosa letu ni kuwaanzisha watoto wetu elimu ya msingi kwa lugha ya Kiswahili . Halafu tunabadika secondary watoto wakishakuwa na aibu ya kuongea broken English. Ni mpango wa ajabu sana
 
Hii lugha ya kiswahili haina soko. Kwasabb ilipaswa kubeba teknolojia/maarifa ambayo ndiyo yangevutia watu kujifunza kiswahili
Haswa - yeyote anaye jidanganya kwamba siku moja kiswahili kitachukuwa nafasi ya kiingereza hizi ni ndoto za mchana - kiingereza ni lugha ya kimataifa, lugha ya biashara huwezi kuikwepa au kuidharau - wengi wanao leta hoja za kisiasa kwa kusema eti Kingereza hakifahi ukiwachunguza kiundani ni wale ambao kiingereza kiliwapiga chenga tangu wakiwa shuleni - ndio maana wamekazania kusema eti zabibu ni mbichi kwa kuwa hawawezi kukwea mti wa mzabibu kuzivuna.

Uchina ambayo raia wake ni robo ya watu wote Duniani wazazi wanakazania watoto wao wajifunze kiingereza for a good reason namely kinauzika ie uwezi kukwama popote Duniani kama unamuda walao maneno mawili matatu ya kiingereza,ni lugha ya kisayansi na teknolojia - wale wote wanao ponda kiingereza ni wanafiki tu na hawajui walisemalo na kama wanataka watoto wao wapitwe na wakati basi wawakataze kujifunza kiingereza kwa madai kwamba hakitawasaidia popote kwenye maisha yao yaliyo baki.
 
Tumesikia Bi. Samia anaenda Kenya kwa ziara ya kikazi mnamo hapo kesho.

Ni matumaini yangu na fahari yangu kwamba atatumia Kiswahili katika shughuli zote atakazoalikwa kuzifanya.

Hivi majuzi tu alipoenda Uganda, tuliona anatumia kizungu kuhutubia.

Wengi wa wananchi wetu nina uhakika hawakuelewa hata anachozungumza.

Ifahamike kwamba, Kiswahili si lugha ngeni Afrika Mashariki. Tuachane na Viingereza pasipo na ulazima.

Sijui ni nani aliyewalaghai kwamba kuongea kizungu ni ufahari na usomi?

Hata katika mazingira yasiyohitaji kizungu, bado watu watajing'ang'aniza kuongea kizungu hata kama hawakiwezi na tunajua kwa hakika kwamba hawakiwezi.

Hebu tuachane na hizi "You Know You know ofcozi zea zea" mingi mingi. Tunajiaibisha na kujidunisha.

Tunayo lugha adhimu ya Kiswahili. Tuitumie hiyo.

Nasubiri kuona hiyo Kesho vile Bibi SASHA atakavyojitutumua na viingereza vyake uchwara.

Ashauriwe vyema. Maana shughuli za aina ile sio mahali pa kuonesha mbwembwe za kuzungumza kwa lafudhi bandia za kimalkia.

Tunahitaji kusikia "maswala" yakijadiliwa na kuzungumzwa. Hatuhitaji mikogo ya lafudhi bandia za Kizungu.
Hivi unafikiri Uganda ni asilimia ipi kubwa wanaojua kiswahili au kiingeleza?
 
J. K. Nyerere alishasema
Who is he to you? A God?

Vizuri sana. Nyerere alisema.

Lakini usiwalazimishe watu wote wamuabudu Nyerere.

Halafu pia nyakati zinabadilika.

Kwa sasa Kiswahili kimepanuka karibu nusu nzima ya Afrika.

Somalia, Kenya, Sudan, DRC, Uganda, msumbiji, Uganda, Rwanda, Botswana, Malawi, Burundi, China, South Afrika...

Huko kote Kiswahili kinaenea kwa kasi.

Usituletee mawazo ya Nyerere ambayo kwa sasa hayana tija.
 
Tumesikia Bi. Samia anaenda Kenya kwa ziara ya kikazi mnamo hapo kesho.

Ni matumaini yangu na fahari yangu kwamba atatumia Kiswahili katika shughuli zote atakazoalikwa kuzifanya.

Hivi majuzi tu alipoenda Uganda, tuliona anatumia kizungu kuhutubia.

Wengi wa wananchi wetu nina uhakika hawakuelewa hata anachozungumza.

Ifahamike kwamba, Kiswahili si lugha ngeni Afrika Mashariki. Tuachane na Viingereza pasipo na ulazima.

Sijui ni nani aliyewalaghai kwamba kuongea kizungu ni ufahari na usomi?

Hata katika mazingira yasiyohitaji kizungu, bado watu watajing'ang'aniza kuongea kizungu hata kama hawakiwezi na tunajua kwa hakika kwamba hawakiwezi.

Hebu tuachane na hizi "You Know You know ofcozi zea zea" mingi mingi. Tunajiaibisha na kujidunisha.

Tunayo lugha adhimu ya Kiswahili. Tuitumie hiyo.

Nasubiri kuona hiyo Kesho vile Bibi SASHA atakavyojitutumua na viingereza vyake uchwara.

Ashauriwe vyema. Maana shughuli za aina ile sio mahali pa kuonesha mbwembwe za kuzungumza kwa lafudhi bandia za kimalkia.

Tunahitaji kusikia "maswala" yakijadiliwa na kuzungumzwa. Hatuhitaji mikogo ya lafudhi bandia za Kizungu.
Wewe ni chembechembe za mwendazake zilizobaki
 
Tumesikia Bi. Samia anaenda Kenya kwa ziara ya kikazi mnamo hapo kesho.

Ni matumaini yangu na fahari yangu kwamba atatumia Kiswahili katika shughuli zote atakazoalikwa kuzifanya.

Hivi majuzi tu alipoenda Uganda, tuliona anatumia kizungu kuhutubia.

Wengi wa wananchi wetu nina uhakika hawakuelewa hata anachozungumza.

Ifahamike kwamba, Kiswahili si lugha ngeni Afrika Mashariki. Tuachane na Viingereza pasipo na ulazima.

Sijui ni nani aliyewalaghai kwamba kuongea kizungu ni ufahari na usomi?

Hata katika mazingira yasiyohitaji kizungu, bado watu watajing'ang'aniza kuongea kizungu hata kama hawakiwezi na tunajua kwa hakika kwamba hawakiwezi.

Hebu tuachane na hizi "You Know You know ofcozi zea zea" mingi mingi. Tunajiaibisha na kujidunisha.

Tunayo lugha adhimu ya Kiswahili. Tuitumie hiyo.

Nasubiri kuona hiyo Kesho vile Bibi SASHA atakavyojitutumua na viingereza vyake uchwara.

Ashauriwe vyema. Maana shughuli za aina ile sio mahali pa kuonesha mbwembwe za kuzungumza kwa lafudhi bandia za kimalkia.

Tunahitaji kusikia "maswala" yakijadiliwa na kuzungumzwa. Hatuhitaji mikogo ya lafudhi bandia za Kizungu.
Pumbafu ww ni nani mpaka umpangie lugha ya kuongea rais wetu?Masalia ya Jiwe mmekua wapuuzi sana
 
27 Reactions
Reply
Back
Top Bottom