Mmmh hiyo vita usiianze maana hao wanawake wachache walioaminiwa tu mambo yao hata wewe umeshuhudia, tuangalie uwezo zaid kuliko jinsia!!!
Huwa unaangalia luninga? ?!!!
Naangalia luninga ila sioni tofauti ya wanaume wala wanawake wote tuko weak . May be kuna tatizo kidogo na hii rangi nyeusi