Ulaya wasikitishwa mchakato Katiba

Mmmh hiyo vita usiianze maana hao wanawake wachache walioaminiwa tu mambo yao hata wewe umeshuhudia, tuangalie uwezo zaid kuliko jinsia!!!

Huwa unaangalia luninga? ?!!!

Naangalia luninga ila sioni tofauti ya wanaume wala wanawake wote tuko weak . May be kuna tatizo kidogo na hii rangi nyeusi
 
Mmmh hiyo vita usiianze maana hao wanawake wachache walioaminiwa tu mambo yao hata wewe umeshuhudia, tuangalie uwezo zaid kuliko jinsia!!!

Huwa unaangalia luninga? ?!!!


Halafu pia kwa wanawake wengi kuomba omba ni hulka yao ila kwa dume zima kupanda ndege kwenda kuomba omba ni aibu kubwa!
 
Taifa bado linawatanzania wajinga kama wewe hao wazungu ndiyo bwana zako wa kuendesha maisha yako mpaka ukae unaweka maandiko yao humu kweli watumwa mpo wengi.

kweli mkuu ndio maana rais wetu kila siku yuko huko kwa wazungu kuzungusha bakuli kama matonya hivi utumwa huu wa fikra utaisha lini?
 
EU waanze na Marekani kwanza kabla ya TZ maana USA sio kunyonga tu bali wanaua wafungwa kwa sindano za sumu!
 
Back
Top Bottom