The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,433
- 13,414
Umeona majibu yao lakini mkuu ,hawaamini tena katika nchi yaomkuu usiwe mchoyo na kujigamba wakati wenzio wana kufa au kutaabika... uwezo unao jaribu kuwa saidia... ndg hawa watanzania wenzako... hawaendi ulaya kwa kupenda na kuacha ndg jamaa... wake watoto... ni vile wanatafuta ili waje wasaidie walio waacha kwa kuwa wana nguvu... sasa tatizo ni wakumuonesha fursa ndio maana ana haha huku na huko aweze fanikiwa... Mkuu saidia ndg zako hawa...