Katika taarifa ya habari itv uvccm morogoro wamegomea uchaguzi kisa hawajapewa chai.Ila baadae walikubali kuendelea na zoezi.Duuh ccm kiboko chai tu izuie uchaguzi
Imetokea huko Ulanga, wana CCM wameleta tafrani kisa chai imekosekana wakati wa mkutano na bila hofu wala shaka wakawa wanaonekana na camera wakizungumza kwa jazba kutokana na kukosekana kwa chai. Hapa ndipo nilipokumbuka kwamba hawa jamaa wapo kwa ajili ya takrima ndio siku ziende na siku ikifikia wagombea wataacha kutoa rushwa aka takrima kwenye mikutano kuna watu wengi ndani ya CCM ushiriki wao kwenye vikao utakuwa mashakani.
Inaonekana wamefuata chai hawa kwa jinsi walivyo na jazba na kiongozi mmoja akihusisha kitendo hicho ni utamaduni wa CDM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.