Lagrange
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 2,256
- 2,572
Hongera...basi wanachinja kwa mtu na mtu
Me natumia WhatsApp na jf basi lakini one GB LA halotel halifiki siku 7 wanazodai per week
Ukija kwa Tigo ndo ndo wananichefua mimi.
Naomba maelekezo ya hiyo setting uliyofanya
Kama unatumia android ,bonyeza app bila kuachia itakulea machaguzi afu wewe utaenda kwenye 'app info' ambayo ina ki-symbol cha 'i' kisha unaenda sasa kwemye permission na data usage weka background off, inasaidia kiasi chake kupunguza matumizi ya mb .