IshaLubuva
JF-Expert Member
- Dec 4, 2008
- 250
- 11
Asali inaaminika kuwa na uwezo wa kutibu magonjwa mbalimbali. Hata hivyi kuna wakati unakula asali halafu unaanza kusikia maumivu. Mathalan, leo asubuhi nimekunywa chai ya rangi ambayo imeungwa na asali badala ya sukari; kitafunio changu kikawa mahindi ya kuchemsha (mindi moja tu. Baada ya muda nikaanza kusikia tumbo linanisumbua. Nakumbuka hali kama hii ilikuwa inawatokea watu kule nyumbani kwetu Kondoa Irangi kwa baadhi ya watu walipokula asali hata bila kula na kitu kingine.
Je hii inaweza kuwa inasababishwa na nini?
Mwenye maelezo tafadhal.
Je hii inaweza kuwa inasababishwa na nini?
Mwenye maelezo tafadhal.