Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Lundala usiwe na wasi ujumbe naamini umefika.... umegusia nguvu za kiume...lol... wataacha tu...
Haachi mtu hapa
Lundala usiwe na wasi ujumbe naamini umefika.... umegusia nguvu za kiume...lol... wataacha tu...
Kwa unyama basi chips tutakula, na mkong'oto kama kawa.
Haachi mtu hapa
yaani ningejua mapema..........
Pia ulaji wa ugali kwa wanawake upunguza nguvu za kike..nimeona hii kupitia kichuguu tv.
Na Matango pia Mkuu,ni muhimu kwa Ustawi wa afya ya KiumeniKm zimepungua tafuna TIKITI MAJI japo vipande 2 kila siku zitarudi zenyewe.
kuanzia leo chipsi adu yangu