Ulaaniwe ewe tiGO kwa kukwamisha huduma za Internet kwa siku nne mfululizo!

Sihitaji kusikia utetezi wowote kutoka tigo au wapambe wake!<br />
Ninalaani kwa nguvu zote kutokana na kukata huduma ya data ktk kipindindi hiki cha majonzi ambapo mawasiliano ya internet ndiyo yaliyokuwa suluhisho baada ya vyombo vyote vya habari kuungana na akina Chifu Mangungo wa kijitonyama na Magogoni kuleta sera mufilisi!<br />
<br />
Ninarudia kwa sauti kuu ULAANIWE ewe TIGO!!!!
 
Kama ni kweli walaaniwe. Age hii hakuna monopoly ktk ku-disseminate habari sababu ya uwapo wa internet, sasa kama internet service providers wanazingua hakika wanapaswa kubeba lawama. Si unaona TBC walikua wameshachunia habari hiyo nadhani walikua wana buy time kucook habari za kutulisha watz, but thanx to the power of internet tukazipata habari raw kama zilivyo
 
Wewe uko nkasi au tarime mie natumia simu iko poa. Punguza mumkari ata kama wewe ni mpemba
 
Sihitaji kusikia utetezi wowote kutoka tigo au wapambe wake!&lt;br /&gt;<br />
Ninalaani kwa nguvu zote kutokana na kukata huduma ya data ktk kipindindi hiki cha majonzi ambapo mawasiliano ya internet ndiyo yaliyokuwa suluhisho baada ya vyombo vyote vya habari kuungana na akina Chifu Mangungo wa kijitonyama na Magogoni kuleta sera mufilisi!&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Ninarudia kwa sauti kuu ULAANIWE ewe TIGO!!!!
<br />
<br />
Nilivyoona hiyo title nilifikiri unazungumzia Tigo ya kikwelikweli.
 
Wewe uko nkasi au tarime mie natumia simu iko poa. Punguza mumkari ata kama wewe ni mpemba
<br />
<br />
nina wiki sasa ninatumia internet bure kwa kutumia line ya tigo cjui ni ofa au celewi!
 
Huyu jamaa yuko kishumundu nadhan.mbona net ya tgo iko vizur 2.
 
Mimi huwa natumia simu sometimes. Hali kama hiyo mara nyingi hujitokeza ninapotumia simu. Next time ukiona hakuna net jaribu kuzima kisha iwashe tena utaona net iko poa. Sio tatizo la tiGO mkuu..!
 
Kama ni kweli walaaniwe. Age hii hakuna monopoly ktk ku-disseminate habari sababu ya uwapo wa internet, sasa kama internet service providers wanazingua hakika wanapaswa kubeba lawama. Si unaona TBC walikua wameshachunia habari hiyo nadhani walikua wana buy time kucook habari za kutulisha watz, but thanx to the power of internet tukazipata habari raw kama zilivyo
<br />
<br />
jamani mbona sisi tunatumia mtandao huo kwa simu na modem na hatujaona tatizo lolote? Labda ni kwenye maeneo yenu.
 
nina mwezi sasa natumia internet kwene ka simu kangu bure sichajiwi kitu sasa ww labda uko porini na wala sjaskia mtu akilalama
 
Hapa ni wapambe wa Voda wanajaribu kujisafisha baada ya kusakamamwa katika kipindi hiki cha majonzi.
 
hakuna cha tigo wala voda wote ni hao hao tu, wenzao wanalia wao wanajirusha, mbaya.
 
Back
Top Bottom