OLS
JF-Expert Member
- Oct 12, 2019
- 419
- 670
Katika biashara, watu hutaka kupata faida kubwa hivyo hulazimika kukwepa kodi kwa namna moja au nyingine ili kujiongezea kipato. Kwa nchi yetu ya Tanzania, kwa miaka ya hivi karibuni wamekuwa wakikutwa na kesi za kukwepa kodi na wakakutwa na mkono wa sheria na kuitwa wahujumu uchumi au watakatishaji pesa
Lakini katika ukwepaji kodi, ni muhimu kujua uko wa namna mbili, kwa kiingereza kuna ‘Tax Evasion’ huu ni ukwepaji ambao ukikutwa nao ni lazima uwe na kesi ya kujibu, na kwa hali ya sasa uhujumu uchumi unaweza kukuhusu.
Pia kuna ‘Tax Avoidance’, hii ni namna halali ya kukwepa kodi kwa kuangalia mianya ya iliyopo kwenye sheria za kodi nchini. Kwa mfano, kwa sababu mashirika ya dini hayatozwi kodi, mtu anaweza kufanya namna ya kuwa na taasisi inayojihusha na hayo ili kukwepa kodi, na hatokamatwa kwa kuwa amekwepa kisheria
Mianya mingine mingi ya kisheria ambayo inaweza kumfanya mtu akwepe kodi inaweza fundishwa na washarauri wa biashara ambao kwa kiasi kikubwa wanajua sheria za biashara zilivyo na mianya ya kukwepa kodi husika
Lakini katika ukwepaji kodi, ni muhimu kujua uko wa namna mbili, kwa kiingereza kuna ‘Tax Evasion’ huu ni ukwepaji ambao ukikutwa nao ni lazima uwe na kesi ya kujibu, na kwa hali ya sasa uhujumu uchumi unaweza kukuhusu.
Pia kuna ‘Tax Avoidance’, hii ni namna halali ya kukwepa kodi kwa kuangalia mianya ya iliyopo kwenye sheria za kodi nchini. Kwa mfano, kwa sababu mashirika ya dini hayatozwi kodi, mtu anaweza kufanya namna ya kuwa na taasisi inayojihusha na hayo ili kukwepa kodi, na hatokamatwa kwa kuwa amekwepa kisheria
Mianya mingine mingi ya kisheria ambayo inaweza kumfanya mtu akwepe kodi inaweza fundishwa na washarauri wa biashara ambao kwa kiasi kikubwa wanajua sheria za biashara zilivyo na mianya ya kukwepa kodi husika