Kiwarhoapandenga
JF-Expert Member
- Aug 10, 2019
- 2,078
- 1,806
Halafu nimpe kura yangu mimi thubutuu
Na tume pia Inatakiwa ithibitiwe kabla ya kufanya uhuni. Eti wanadai,",Piga kura rudi nyumbani", Tukatae Hii slogan kwa nguvu zote. Yeyote atakaye onekana kutaka kuiba kura kituo chochote, huyo mtu tumgawane!Ameshakosa kibali cha watz imebaki kazi ya tume kutulazimishia jitu tusilolitala
Mgombea wetu wa CCM akiwa Zanzibar anawaeleza Wazanzibar kuwa wasiondoke uwanjani hapo maana akimaliza hotuba bado Kuna show kabambe kutoka kwa wasanii na watamuona nae akicheza.... Wazenji nao viburi wakaondoka wakati anazungumza. Aisee!Ameshakosa kibali cha watz imebaki kazi ya tume kutulazimishia jitu tusilolitala
Issue ni kuwa na TV au sheria mbovu zinazodhibiti vyombo vya habari. Wenye TV wanakuwa controlled na CCM kwa remote. Hawako huru. Ni uduanzi kufanya biashara ya TV Tanzania Kama wewe ni msemaukweli!Hawawezi waonyesha watu wamaobeza, kila uchao Serikali ya wanyonge.Chadema Kwa pesa ya ruzuku, ingetosha na nyie kuwa na TV yenu. Tatizo mwenyekiti wenu mchwa Sana, atawatafuna mpaka mwishe nyote.
Huyu Robert Amsterdam naona anawatia kichaa Wana Lumumba. Na yeye aendelee kushikilia hapohapo kuibua maovu yenu mpaka muwe machizi kabisa!Upuuzi mtupu. Tumejipanga, mwaka huu mtaisoma.
Wawaulize Nape, na January Makamba, sijui wanajihisi vipiAtamkejeli hata Mahera, Bashiru, Polepole no. Hapaswi kabisa kupewa
Ha ha ha.. alishasema hapangiwiMwenzako badala ya kuitazama vizuri hiyo runinga ndio ataizima kabisa na atachomoa waya kwenye switch
Kinana, January na Nape ndio walikuwa wajuzi wa fitina. Waifanye wakati gani na wapi. Lakini huyo mshamba alipoingia akaunda ccm yake na kuwaona hao wote ni maadui. Akiponyoka, kama itatokea, atabadilika sana. Ataona kuwa kumbe ni mshamba na limbukeni tu.Wawaulize Nape, na January Makamba, sijui wanajihisi vipi