Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

Unataka uthibitisho gani?

Mazingira ya maisha yetu ni kielelezo tosha kwa uumbaji wa Mungu wetu.

Umewahi kuota jambo na baadae likakutokea ?
Uthibitisho kuwa mungu yupo.

Mazingira siyo kielelezo tosha kuwa mungu yupo.

Kivipi mazingira yanaashiria kuwa mungu yupo?

Pia ushahidi mzuri ni ushahidi wa kushuhudia kwa macho bila kuambiwa mkuu.

Kama kweli yupo si ajitokeze tu watu tumuone ili tujiridhishe nafsi zetu.
 
Je kweli mungu ni mkubwa kama vitabu vya dini vinavyosema?
Ukisema mungu mkubwa maana yake anafanana na kitu

Kama vile (mt everest) mt Kilimanjaro etc. vitabu vinasema mungu ana uwezo kuliko vitu vyote
Je anaweza kuumba kitu cha kumzidi yeye mungu na kama anaweza kuumba kitu cha kumzidi bac huyo mungu hana uwezo
Na kama hana uwezo wa kuumba kitu cha kumzidi yeye bas uwepo wa nguvu zake za kufanya kila kitu haupo

Na je huyohuyo mungu ilikuwaje mtu mweus akatokea na wakati aliumba mtu mweupe
Kwa mujibu wa vitabu vinavyoonesha?
Na kwann uvumbuz wa vifaa vyote unatoka kwa watu weupe je mungu aliwapendelea wao zaidi? Je ni kweli kwamba riziki hutoka kwa mungu bac km ni hivyo bac mungu ana upendeleo kampa mo kampa said barheresa mie kaninyima huyu mungu gani anaesimuliwa ktk vitabu?kunatoke misiba ajali watu husema kapanga mungu

Kwa nn huyu mungu awe wa matatzo je huyu ni mungu wa ukweli au matatizo?
Mungu hana matatizo wewe ndie una matatizo akili amekupa unashindwa kuitumia.

Ktk Dunia lazima tuishi kwa makundi na hatuwezi kufanana sote pia miili ni bodi tu nafsi zetu ndio kuna ufaham wetu
 
Utasemaje Mungu kafanya hili na lile wakati huwezi hata kuthibitisha kwamba yupo?

Kama hayupo atafanyaje hili na lile? Atakuwaje mbingu na nchi?

Unaweza kuthibitisha kwamba yupo na hizo si hadithi tu?
Mkuu hii sio hadith ni ukweli unaothibitishwa na mazingira ambayo kila kitu hutokea kwa sababu ya kitu kingine ama kupandikizwa ama kuumbwa na mwanzo wa vyote ni Mungu.

Ulimwengu umeumbwa na Mungu hata kama Unafahamu Ulimwengu umekuwepo kwa sababu flani hiyo sababu ni Mungu
 
Uthibitisho kuwa mungu yupo.

Mazingira siyo kielelezo tosha kuwa mungu yupo.

Kivipi mazingira yanaashiria kuwa mungu yupo?

Pia ushahidi mzuri ni ushahidi wa kushuhudia kwa macho bila kuambiwa mkuu.

Kama kweli yupo si ajitokeze tu watu tumuone ili tujiridhishe nafsi zetu.

Mkuu mazingira ya maisha yetu na mpangilio maisha yetu sayari na nyota ni kielelezo tosha cha muumbaji wa vyote au kuna sababu iliyoanzisha huu Ulimwengu.

Mungu haonekani kwa macho ya kibinadam Bali huonekana ktk nafs roho.

Ulimwengu hauna mwanzo na mwisho Mungu hana mwanzo wala mwisho ni zaidi ya Ulimwengu
 
Mkuu hii sio hadith ni ukweli unaothibitishwa na mazingira ambayo kila kitu hutokea kwa sababu ya kitu kingine ama kupandikizwa ama kuumbwa na mwanzo wa vyote ni Mungu.

Ulimwengu umeumbwa na Mungu hata kama Unafahamu Ulimwengu umekuwepo kwa sababu flani hiyo sababu ni Mungu
Kama kila kitu husababishwa na kingine basibna huyo unayemuita Mungu naye kasababishwa na kingine, na hivyo si Mungu.
 
Mkuu mazingira ya maisha yetu na mpangilio maisha yetu sayari na nyota ni kielelezo tosha cha muumbaji wa vyote au kuna sababu iliyoanzisha huu Ulimwengu.

Mungu haonekani kwa macho ya kibinadam Bali huonekana ktk nafs roho.

Ulimwengu hauna mwanzo na mwisho Mungu hana mwanzo wala mwisho ni zaidi ya Ulimwengu
Mazingira ya maisha yetu yanathibitisha hakuna Mungu huyo muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote.

1. Kama yupo, kwa nini aliumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

2. Kwa nini kaumna mifumo ya kibaiolojia yenye vast inefficiencies? Kunya, kukojoa, kutoa jasho vyote ni inefficiencies. Katika physics any waste product show lack of 100% efficiency. Mungu wenu angekuwepo na angekuwa katuumba tungekuwa hatunyi wala kukojoa, hatuumwi wala kufa. Hayo ni mapungufu yanayoonesha hayupo.

3. Umetaja mpangilio wa nyota na sayari etc. Hilo pia linaonesha vast inefficiency. The univetse is 99% empty space. The most prevalent atom in the universe is 99.9999999999996% empty space. This is vast inefficiency in the use of space.

The atoms that make up your body are more than 99% empty space.

This is vast inefficiency. How can you say an all knowing, all loving and all capable God made this ?
 
Uthibitisho kuwa mungu yupo.

Mazingira siyo kielelezo tosha kuwa mungu yupo.

Kivipi mazingira yanaashiria kuwa mungu yupo?

Pia ushahidi mzuri ni ushahidi wa kushuhudia kwa macho bila kuambiwa mkuu.

Kama kweli yupo si ajitokeze tu watu tumuone ili tujiridhishe nafsi zetu.
Mungu ni roho Mungu ni zaidi ya fikira za mwanadamu katika Ulimwengu wa kiroho utamwona Mungu lakini si ktk Ulimwengu wa nyama.
 
Kama kila kitu husababishwa na kingine basibna huyo unayemuita Mungu naye kasababishwa na kingine, na hivyo si Mungu.
Mungu ninaye mshuhudia ni Mungu wa kweli aliyeumba vyote hakuumbwa wala hakuzaliwa yupo daima na milele ni Mungu muweza wa yote asiyeshindwa na jambo lolote.

Unafahamu nini kuhusu kuwepo kwa Dunia unakubali imeumbwa au umekuwapo?
 
Mazingira ya maisha yetu yanathibitisha hakuna Mungu huyo muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote.

1. Kama yupo, kwa nini aliumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

2. Kwa nini kaumna mifumo ya kibaiolojia yenye vast inefficiencies? Kunya, kukojoa, kutoa jasho vyote ni inefficiencies. Katika physics any waste product show lack of 100% efficiency. Mungu wenu angekuwepo na angekuwa katuumba tungekuwa hatunyi wala kukojoa, hatuumwi wala kufa. Hayo ni mapungufu yanayoonesha hayupo.

3. Umetaja mpangilio wa nyota na sayari etc. Hilo pia linaonesha vast inefficiency. The univetse is 99% empty space. The most prevalent atom in the universe is 99.9999999999996% empty space. This is vast inefficiency in the use of space.

The atoms that make up your body are more than 99% empty space.

This is vast inefficiency. How can you say an all knowing, all loving and all capable God made this ?
1>>Mabaya yaliyopo ni ktk kuweka sawa namna ambayo mwanadamu atamrudia Mungu kwa kuogopa kutotii sheria zake mwanadamu ana akili za utambuzi kutotii ni hiari yake.
Pia kifo ni sehemu nyingine ya maisha ya mwanadamu ktk Ulimwengu wa roho hakuna mateso.

2.Biological vast inefficiencies!
Mwanadamu amepewa akili ya utashi kujitambua jema na ovu ina maana afanye kazi na kujiandalia maisha ya baadae katika Ulimwengu wa roho, Duniani tunaanza na ktk maisha ya kitumwa lakini ktk ulimwengu Nipo roho hakuna mateso kama haya Duniani ni kama jera kila nafsi inaonja umauti hakuna asiye teseka Duniani maana kuanzia kula,Kunya,kutomba, kukojoa etc. chochote ni ufanyacho ni utumwa.

3.Vast inefficiency of universe.
Kuwa 99.999% ya utupu uwazi ni mpangilio kwa vile ambavyo ni faida ya viumbe hai na mpishano sahihi isioweza athari katika viumbwa katika mzunguko wa maisha ya viumbwa Ulimwengu.

Mungu ana upendo ktk Ulimwengu wa roho utaishi kwa a man.

Umewahi kupata ajali ya kukuzimisha kwa Masaa na ukazinduka?
 
1>>Mabaya yaliyopo ni ktk kuweka sawa namna ambayo mwanadamu atamrudia Mungu kwa kuogopa kutotii sheria zake mwanadamu ana akili za utambuzi kutotii ni hiari yake.
Pia kifo ni sehemu nyingine ya maisha ya mwanadamu ktk Ulimwengu wa roho hakuna mateso.

2.Biological vast inefficiencies!
Mwanadamu amepewa akili ya utashi kujitambua jema na ovu ina maana afanye kazi na kujiandalia maisha ya baadae katika Ulimwengu wa roho, Duniani tunaanza na ktk maisha ya kitumwa lakini ktk ulimwengu Nipo roho hakuna mateso kama haya Duniani ni kama jera kila nafsi inaonja umauti hakuna asiye teseka Duniani maana kuanzia kula,Kunya,kutomba, kukojoa etc. chochote ni ufanyacho ni utumwa.

3.Vast inefficiency of universe.
Kuwa 99.999% ya utupu uwazi ni mpangilio kwa vile ambavyo ni faida ya viumbe hai na mpishano sahihi isioweza athari katika viumbwa katika mzunguko wa maisha ya viumbwa Ulimwengu.

Mungu ana upendo ktk Ulimwengu wa roho utaishi kwa a man.

Umewahi kupata ajali ya kukuzimisha kwa Masaa na ukazinduka?
Utasemaje mabaya ni kuweka sawa?

Ushawahi kuona mjenzi anajenga nyumba inayoweza kuvunjika wakati ana uwezo wa kujenga nyumba isiyovunjika ili tu aweze kuiacha nyumba ivunjike na wakazi wajue kuna mjenzi aliyejenga nyumba, halafu ikivunjika aijenge tena?

Ushawahi kuona kitu kama hicho?

Mjenzi mtu atakayefanya hivyo atanyang'anywa leseni ya ujenzi, atafunguliwa mashtaka na kufungwa.

Kwa nini tunawawekea watu wasiojua yote, wasioweza yote na wasio na upendo wote standards kubwa sana katika ujenzi wa majengo kuliko standards tunazomuwekea Mungu ambaye tunasema ana ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote?
 
Utasemaje mabaya ni kuweka sawa?

Ushawahi kuona mjenzi anajenga nyumba inayoweza kuvunjika wakati ana uwezo wa kujenga nyumba isiyovunjika ili tu aweze kuiacha nyumba ivunjike na wakazi wajue kuna mjenzi aliyejenga nyumba, halafu ikivunjika aijenge tena?

Ushawahi kuona kitu kama hicho?

Mjenzi mtu atakayefanya hivyo atanyang'anywa leseni ya ujenzi, atafunguliwa mashtaka na kufungwa.

Kwa nini tunawawekea watu wasiojua yote, wasioweza yote na wasio na upendo wote standards kubwa sana katika ujenzi wa majengo kuliko standards tunazomuwekea Mungu ambaye tunasema ana ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote?
Kifo ni njia ya maisha sehemu nyingine kifo ni sababu ya kuishi inje ya mfumo wa maisha ya kidunia.

Maisha yana mwendelezo baada ya kifo Unafahamu kuwa binadamu ana nafsi haifi?
 
Mungu ninaye mshuhudia ni Mungu wa kweli aliyeumba vyote hakuumbwa wala hakuzaliwa yupo daima na milele ni Mungu muweza wa yote asiyeshindwa na jambo lolote.

Unafahamu nini kuhusu kuwepo kwa Dunia unakubali imeumbwa au umekuwapo?
Una uhakika huyo mungu wako hashindwi kitu?

Mbona alishindwa kuzuia tetemeko lililotokea kule kagera?

Kama Siyo kushindwa. Kwanini kuna watu ni vilema hapa duniani? Kwanini asiwaondolee ukilema wao?
 
Una uhakika huyo mungu wako hashindwi kitu?

Mbona alishindwa kuzuia tetemeko lililotokea kule kagera?

Kama Siyo kushindwa. Kwanini kuna watu ni vilema hapa duniani? Kwanini asiwaondolee ukilema wao?
Waliokufa kagera. walipangiwa watakufsa kwa tetemeko
Mungu ana makusudi yake na muweza yote
 
ukitaka kumchunguza Mungu tayarisha vyema ubongo maana unaweza Fanya rotation izo.
zaidi Muishi Mungu tu.Inatosha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom