Luigi Alfred
Member
- Mar 17, 2016
- 63
- 42
Boya kashwagara ndo nini broMimi nampa Marks nyingi sana Prof Anna Tibaijuka kwa kubutua Kombolela, ingetokea Rais angemshushua kwa mawazo yale basi kwa unafiki wa Kibongo tungemshangaa na U Prof wote bado ' ana imani za kishirikina' , lakin kwa kuwa Rais aliunga Mkono basi na wafuata Mkumbo tukapita humo humo, so ali take risk ya kutoa wazo lile hadharan
Hongera Mama 'Kashwagara'