Kanjwinjwi
JF-Expert Member
- Jun 22, 2017
- 255
- 342
Tz imeidhibiti Corona isilete madhara yani ata kama mtu ukiambukizwa isikusababishie kifo na kilichofanyika ni kuondoa hofu kwa watu, kuruhusu tafiti za dawa asili(mitishamba), kutumia njia za kawaida za asili kujitibu e.g kutumia malimao,tangawizi, vitunguu swaumu,karafuu,pilipili kichaa,asali kujitibu, kufanya mazoezi nkKwahiyo Tz imeshinda corona au tumeamua kuishi nayo?
Hizo ni njia za kawaida tu zinazosaidia watu.
Ndio maana yes maambukizi yapo tena sana tu ila asilimia za ugonjwa kuua imepungua sana