Patrick Andrew
Member
- Feb 20, 2014
- 13
- 1
Wanajamvi wenzangu kuna tetesi nimekuwa nikizisikia kuwa mboga ya majani ya chainizi inapunguza nguvu za kiume, je ni kweli? naomba kujuzwa
Wanajamvi wenzangu kuna tetesi nimekuwa nikizisikia kuwa mboga ya majani ya chainizi inapunguza nguvu za kiume, je ni kweli? naomba kujuzwa
Vyakula vingi kutoka china ni vyakula Feki mujihadhari navyo. Mkuu Jambazi Mkuu Patrick AndrewDr: MziziMkavu kuna ukweli wowote hapo ufafanuzi tafadhali!
Vyakula vingi kutoka china ni vyakula Feki mujihadhari navyo. Mkuu Jambazi Mkuu Patrick Andrew
Mkuu chinizi ni mboga ambayo imelimwa hapa kwetu miaka na miaka, je kuna ukweli wowote juu ya madai aliyoleta mleta mada???
Nijuavyo mboga nyingi zilizokuja kwenye miaka ya 1988- 2000's sio mboga nzuri sana kwa afya zetu...ukitaka mboga nzuri tumia mchicha pori,mnafu wa asili,na figiri.
Umenikumbusha figiri kwa nyama kisha itiwe nazi....weee!
Penda sana figiri mimi.
Umenikumbusha figiri kwa nyama kisha itiwe nazi....weee!
Penda sana figiri mimi.
Figiri ndo nini eti!??
Ile ni habari nyingine,
Kabisa!
Ila hiyo ID yako na avatar umetisha sana mkuu.
Ninasema Uongo unaonaje uongo wako ninaosema? Mkuu Peace92MziziMkavu unasema kweli?
Kazi kwenu watumiaji wa vyakula vya kichina.Mkuu chinizi ni mboga ambayo imelimwa hapa kwetu miaka na miaka, je kuna ukweli wowote juu ya madai aliyoleta mleta mada???