Ukweli wa mafuriko ya Lissu wafichuka, ni watoa rushwa CCM wanahaha kwa kuwatuma wafuasi wao

Hatimaye siri imefichuka baada Katibu itikadi na uenezi CCM, kuwatisha wabunge washindi wa kura za maoni, sasa wabunge hao waibuka na janjajanja wasikatwe.

Mbinu inayotumiwa na mafisadi wa CCM walionunua wajumbe, ni kuwatuma wafuasi wao katika misafara ya Tundu Lissu anayesaka wadhamini.

Lengo lao ni kuitisha kamati kuu CCM ione kuwa Lisu ana wafuasi na hivyo washindi wa CCM majimboni ndiyo pekee wenye uwezo wa kupambana na wagombea wa Chadema vinginevyo CCM itashindwa vibaya sana.

Wanawaaminisha kamati kuu ya CCM kuwa hali ni tete sana na bila wao, mwaka huu ndiyo mwisho wa CCM ila kiuhalisia tunaowaona Mikutano na misafara ya Lissu ni CCM njaa walionunuliwa na mafisadi wa CCM.
2015 mbona chadema iliwagaraza ccm,
Chadema ilipata kura mili10 ccm ilpata mil 3,
unadhani walioipa CDM kura mil 10 mwaka 2015 mwaka huu wako wapi?
 
Ndiyo, wakihofia kukatwa. Ni wabunge walioshinda kura za maoni. Wanaitisha kamati kuu ya CCM ione hali ni tete na kukatana kuepukwe kwa mustakabali wa Chama.
Una matatizo kichwani frequency hazisomi dish limeyumba
 
Kama Lissu ana mafuriko ilihali hakuwa Nchini, wala anakopita Watanzania hawatangaziwi bali wanastukizwa, basi huu Mwaka tuna hali ngumu..
Hii ni Dalili kwamba wapinzani wa kweli ni Watanzania, sio hawa CHADEMA tunaowavamia kuwapiga, ama kuwabambikia kesi.
Tujitafakari na Kujisahihisha.
Umenena vema
 
Hatimaye siri imefichuka baada Katibu itikadi na uenezi CCM, kuwatisha wabunge washindi wa kura za maoni, sasa wabunge hao waibuka na janjajanja wasikatwe.

Mbinu inayotumiwa na mafisadi wa CCM walionunua wajumbe, ni kuwatuma wafuasi wao katika misafara ya Tundu Lissu anayesaka wadhamini.

Lengo lao ni kuitisha kamati kuu CCM ione kuwa Lisu ana wafuasi na hivyo washindi wa CCM majimboni ndiyo pekee wenye uwezo wa kupambana na wagombea wa Chadema vinginevyo CCM itashindwa vibaya sana.

Wanawaaminisha kamati kuu ya CCM kuwa hali ni tete sana na bila wao, mwaka huu ndiyo mwisho wa CCM ila kiuhalisia tunaowaona Mikutano na misafara ya Lissu ni CCM njaa walionunuliwa na mafisadi wa CCM.
Siasa Raha sana.
Hiyo tathmini imeandaliwa wapi?
Umewahoji SAA ngapi hao wadhamini wa Lissu?
Mwisho wa yote ni Yale ya Wajumbe ndo yatakayotokea.
 
Siasa Raha sana.
Hiyo tathmini imeandaliwa wapi?
Umewahoji SAA ngapi hao wadhamini wa Lissu?
Mwisho wa yote ni Yale ya Wajumbe ndo yatakayotokea.
Hao sio wadhamini, Mimi namaanisha wale wanaodandia msafara kwa kumpokea na kumshangilia na hata kumsindikiza Kila apitapo ktk maeneo yao. Hapo ndipo wagombea CCM wanapofanya sanaa yao.
 
Hatimaye siri imefichuka baada Katibu itikadi na uenezi CCM, kuwatisha wabunge washindi wa kura za maoni, sasa wabunge hao waibuka na janjajanja wasikatwe.

Mbinu inayotumiwa na mafisadi wa CCM walionunua wajumbe, ni kuwatuma wafuasi wao katika misafara ya Tundu Lissu anayesaka wadhamini.

Lengo lao ni kuitisha kamati kuu CCM ione kuwa Lisu ana wafuasi na hivyo washindi wa CCM majimboni ndiyo pekee wenye uwezo wa kupambana na wagombea wa Chadema vinginevyo CCM itashindwa vibaya sana.

Wanawaaminisha kamati kuu ya CCM kuwa hali ni tete sana na bila wao, mwaka huu ndiyo mwisho wa CCM ila kiuhalisia tunaowaona Mikutano na misafara ya Lissu ni CCM njaa walionunuliwa na mafisadi wa CCM.
Wote wanaojitokeza kwenye msafara wa lissu hawajaenda kwa lengo wanamkubali ila iko hivi 10%wanachama damu wa chadema,10%waliowai kumsikia lissu midomoni mwa watu ila hawakuwahi kumuona,10%waliokuja kumshangaa kama ndiye yule aliyepigwa risasi,10%wafanyabiashara ndogondogo,10%jobless,10%wanafiki,10%watoto u18,30%wapiga kura wasiotabirika .
 
Hatimaye siri imefichuka baada Katibu itikadi na uenezi CCM, kuwatisha wabunge washindi wa kura za maoni, sasa wabunge hao waibuka na janjajanja wasikatwe.

Mbinu inayotumiwa na mafisadi wa CCM walionunua wajumbe, ni kuwatuma wafuasi wao katika misafara ya Tundu Lissu anayesaka wadhamini.

Lengo lao ni kuitisha kamati kuu CCM ione kuwa Lisu ana wafuasi na hivyo washindi wa CCM majimboni ndiyo pekee wenye uwezo wa kupambana na wagombea wa Chadema vinginevyo CCM itashindwa vibaya sana.

Wanawaaminisha kamati kuu ya CCM kuwa hali ni tete sana na bila wao, mwaka huu ndiyo mwisho wa CCM ila kiuhalisia tunaowaona Mikutano na misafara ya Lissu ni CCM njaa walionunuliwa na mafisadi wa CCM.
Ujinga wa kiwango cha lami!
 
Nani aliye shauri vibaya kuhusu watumishi wa umma kutopata nyongeza ya mishahara miaka 5 iliyo pita?
 
Hatimaye siri imefichuka baada Katibu itikadi na uenezi CCM, kuwatisha wabunge washindi wa kura za maoni, sasa wabunge hao waibuka na janjajanja wasikatwe.

Mbinu inayotumiwa na mafisadi wa CCM walionunua wajumbe, ni kuwatuma wafuasi wao katika misafara ya Tundu Lissu anayesaka wadhamini.

Lengo lao ni kuitisha kamati kuu CCM ione kuwa Lisu ana wafuasi na hivyo washindi wa CCM majimboni ndiyo pekee wenye uwezo wa kupambana na wagombea wa Chadema vinginevyo CCM itashindwa vibaya sana.

Wanawaaminisha kamati kuu ya CCM kuwa hali ni tete sana na bila wao, mwaka huu ndiyo mwisho wa CCM ila kiuhalisia tunaowaona Mikutano na misafara ya Lissu ni CCM njaa walionunuliwa na mafisadi wa CCM.
Mnatapatapa. Mtakubali mwaka huu. Ndio kwanzaaaaaa.......tunaanza upyaaaa in bwege's voice.
 
Back
Top Bottom