2015 mbona chadema iliwagaraza ccm,Hatimaye siri imefichuka baada Katibu itikadi na uenezi CCM, kuwatisha wabunge washindi wa kura za maoni, sasa wabunge hao waibuka na janjajanja wasikatwe.
Mbinu inayotumiwa na mafisadi wa CCM walionunua wajumbe, ni kuwatuma wafuasi wao katika misafara ya Tundu Lissu anayesaka wadhamini.
Lengo lao ni kuitisha kamati kuu CCM ione kuwa Lisu ana wafuasi na hivyo washindi wa CCM majimboni ndiyo pekee wenye uwezo wa kupambana na wagombea wa Chadema vinginevyo CCM itashindwa vibaya sana.
Wanawaaminisha kamati kuu ya CCM kuwa hali ni tete sana na bila wao, mwaka huu ndiyo mwisho wa CCM ila kiuhalisia tunaowaona Mikutano na misafara ya Lissu ni CCM njaa walionunuliwa na mafisadi wa CCM.
Chadema ilipata kura mili10 ccm ilpata mil 3,
unadhani walioipa CDM kura mil 10 mwaka 2015 mwaka huu wako wapi?