Ukweli wa bustani ya Edeni kuwa Ngorongoro

steve_shemej

JF-Expert Member
Nov 26, 2015
1,092
1,433
Habarini wapendwa kwakipindi kirefu nilikuwa najiuliza Ni wapi bustani ya Edeni ilikuwepo hapo mwanzo

Swali hili lilikosa jibu kwa muda mrefu huku kilamtu akiniambia yake kuhusu hii bustani

Mapema leo nilikuwa nazungumza na rafiki yangu mmoja wa kijerumani nikamuuliza endapo anafahamu bustani ya Edeni ilikuwa wapi akanipa majibu ya tofauti kidogo

Jamaa akasema aliwahi kuambiwa na Bibi yake kuwa bustani ya Edeni ilikuwa sehemu ambapo sasa hivi panaitwa Ngorongoro Crater Nikashangaa kidogo

Akasema aliambiwa kuwu bustani ya Edeni kipindi hicho ilikuwa juu ya kilele Cha mlima na ilikuwa inapendeza sana

Lakini baada ya watu kumchukiza mungu kipindi Cha Sodoma na Gomora mungu akaangamiza kizazi chote na eneo la Edeni likatitia na kutengeneza Crater ambayo ndiyo Ngorongoro ndiyo maana hata fuvu la binadamu wa kwanza lilipatikana kalibu na eneo Hilo

Akasema wazungu wengi huenda pale siyo tu kuiona Crater Bali kuona sehemu ilipokuwa bustani ya Eden ila huwa hawaweki wazi kutokana tu na chuki zao ila kiukwel Ni kwamba Ngorongoro Crater ndiyo Edeni ya kipindi hicho

images.jpeg
images%20(3).jpeg
images%20(2).jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja nijipange nikatembelee Edeni sehem ambayo shetani aliongea live na Hawa ,tunda likamponza Adam
 
Habarini wapendwa kwakipindi kirefu nilikuwa najiuliza Ni wapi bustani ya Edeni ilikuwepo hapo mwanzo..
Kwa kuitumia biblia, tangu kuumbwa kwa Adam na Eva mpaka leo ni miaka 6000! Kwa upande wa pili fuvu ulilotaja kupatikana Olduvai lina umri wa miaka zaidi ya 3 milioni. Kuendelea na imani ni mapitio, lakini kwahitaji moyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini wapendwa kwakipindi kirefu nilikuwa najiuliza Ni wapi bustani ya Edeni ilikuwepo hapo mwanzo

Swali hili lilikosa jibu kwa muda mrefu huku kilamtu akiniambia yake kuhusu hii bustani

Mapema leo nilikuwa nazungumza na rafiki yangu mmoja wa kijerumani nikamuuliza endapo anafahamu bustani ya Edeni ilikuwa wapi akanipa majibu ya tofauti kidogo

Jamaa akasema aliwahi kuambiwa na Bibi yake kuwa bustani ya Edeni ilikuwa sehemu ambapo sasa hivi panaitwa Ngorongoro Crater Nikashangaa kidogo

Akasema aliambiwa kuwu bustani ya Edeni kipindi hicho ilikuwa juu ya kilele Cha mlima na ilikuwa inapendeza sana

Lakini baada ya watu kumchukiza mungu kipindi Cha Sodoma na Gomora mungu akaangamiza kizazi chote na eneo la Edeni likatitia na kutengeneza Crater ambayo ndiyo Ngorongoro ndiyo maana hata fuvu la binadamu wa kwanza lilipatikana kalibu na eneo Hilo

Akasema wazungu wengi huenda pale siyo tu kuiona Crater Bali kuona sehemu ilipokuwa bustani ya Eden ila huwa hawaweki wazi kutokana tu na chuki zao ila kiukwel Ni kwamba Ngorongoro Crater ndiyo Edeni ya kipindi hicho

View attachment 1456900View attachment 1456902View attachment 1456907

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi hizi bangi mnavutia wapi mazee? Kuna Bible zina ramani nenda kasome Old Testament
 
Habarini wapendwa kwakipindi kirefu nilikuwa najiuliza Ni wapi bustani ya Edeni ilikuwepo hapo mwanzo

Swali hili lilikosa jibu kwa muda mrefu huku kilamtu akiniambia yake kuhusu hii bustani

Mapema leo nilikuwa nazungumza na rafiki yangu mmoja wa kijerumani nikamuuliza endapo anafahamu bustani ya Edeni ilikuwa wapi akanipa majibu ya tofauti kidogo

Jamaa akasema aliwahi kuambiwa na Bibi yake kuwa bustani ya Edeni ilikuwa sehemu ambapo sasa hivi panaitwa Ngorongoro Crater Nikashangaa kidogo

Akasema aliambiwa kuwu bustani ya Edeni kipindi hicho ilikuwa juu ya kilele Cha mlima na ilikuwa inapendeza sana

Lakini baada ya watu kumchukiza mungu kipindi Cha Sodoma na Gomora mungu akaangamiza kizazi chote na eneo la Edeni likatitia na kutengeneza Crater ambayo ndiyo Ngorongoro ndiyo maana hata fuvu la binadamu wa kwanza lilipatikana kalibu na eneo Hilo

Akasema wazungu wengi huenda pale siyo tu kuiona Crater Bali kuona sehemu ilipokuwa bustani ya Eden ila huwa hawaweki wazi kutokana tu na chuki zao ila kiukwel Ni kwamba Ngorongoro Crater ndiyo Edeni ya kipindi hicho

View attachment 1456900View attachment 1456902View attachment 1456907

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh

Its not over until its over...
 
Hivi hizi bangi mnavutia wapi mazee? Kuna Bible zina ramani nenda kasome Old Testament
watu msiofahamu, wapi mmetoka na wapi mnaenda nyie ndio wazuri. Upepo ukija Kaskazini na wewe utapeperushwa mpaka Kaskazini, Kusini?

Na wewe huyo mpaka Kusini. Jiulize kulikuwa kuna ulazima gani wa wao kuchora ile ramani??
 
Mambo mengine ngumu kufahamu,ukiwaza kwa akili za kawaida kwa kuoanisha kuzimu ambayo kuna moto mkali inaweza ikawa ndani ya jua
 
Kwa kuitumia biblia, tangu kuumbwa kwa Adam na Eva mpaka leo ni miaka 6000! Kwa upande wa pili fuvu ulilotaja kupatikana Olduvai lina umri wa miaka zaidi ya 3 milioni. Kuendelea na imani ni mapitio, lakini kwahitaji moyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
wale jamaa wanaweza wakakupima na wakakwambia uliishi miaka 5000 iliopita, ukafa...ukazaliwa tena kama jani vile. Hawana dogo...
 
Habarini wapendwa kwakipindi kirefu nilikuwa najiuliza Ni wapi bustani ya Edeni ilikuwepo hapo mwanzo

Swali hili lilikosa jibu kwa muda mrefu huku kilamtu akiniambia yake kuhusu hii bustani

Mapema leo nilikuwa nazungumza na rafiki yangu mmoja wa kijerumani nikamuuliza endapo anafahamu bustani ya Edeni ilikuwa wapi akanipa majibu ya tofauti kidogo

Jamaa akasema aliwahi kuambiwa na Bibi yake kuwa bustani ya Edeni ilikuwa sehemu ambapo sasa hivi panaitwa Ngorongoro Crater Nikashangaa kidogo

Akasema aliambiwa kuwu bustani ya Edeni kipindi hicho ilikuwa juu ya kilele Cha mlima na ilikuwa inapendeza sana

Lakini baada ya watu kumchukiza mungu kipindi Cha Sodoma na Gomora mungu akaangamiza kizazi chote na eneo la Edeni likatitia na kutengeneza Crater ambayo ndiyo Ngorongoro ndiyo maana hata fuvu la binadamu wa kwanza lilipatikana kalibu na eneo Hilo

Akasema wazungu wengi huenda pale siyo tu kuiona Crater Bali kuona sehemu ilipokuwa bustani ya Eden ila huwa hawaweki wazi kutokana tu na chuki zao ila kiukwel Ni kwamba Ngorongoro Crater ndiyo Edeni ya kipindi hicho

View attachment 1456900View attachment 1456902View attachment 1456907

Sent using Jamii Forums mobile app
Inaweza kuwa kweli lakini vipi Kuhusu Sodoma na Gomora?

Jr
 
Back
Top Bottom