- Thread starter
- #21
hitaji lako weweKwa sasa bado ni hitaji letu sisi wanachama wa chadema, msitupangie kabísa ... Siku ccm ikiondoka madarakani ndo cku na huku mbowe ataachia uenyekiti... Msitupangie na wala msitulazimishe
hitaji lako weweKwa sasa bado ni hitaji letu sisi wanachama wa chadema, msitupangie kabísa ... Siku ccm ikiondoka madarakani ndo cku na huku mbowe ataachia uenyekiti... Msitupangie na wala msitulazimishe
Well, hapa kiuhalisia mbowe ndio humtaki! Bas sawHabari JF,
Kuna kitu hakiko sawa katika siasa za Tanzania. Kama ilivyo kwa viongozi na wanachama wakongwe wa vyama vya upinzani wengi wao walitoka CCM.
Kwa kipindi hicho kuunda kwao vyama vya siasa ilikuwa ni kuhakikisha kuna mfumo wa vyama vingi na SIO KUCHUKUA NCHI, hivyo viongozi hao walikuwa wanajua fika wanaingia kwenye uchaguzi lakini mshindi ni CCM.
Mfano mzuri kina Mzee Mrema, Mbowe na wengine wengi waliingia kwenye huu mfumo kuhakikisha Tanzania inakuwa na mfumo wa vyama vingi kama matakwa ya nje ili tuweze kusaidiwa.
CHADEMA haina ubishi ndio chama kikuu cha upinzani, wananchi wengi tunaimani nacho lakini je kinaweza kuingia Madarakani kwa Mwenyekiti Mbowe ambae anajua fika lengo lilikuwa ni kuhakikisha kunakuwa na vyama vya upinzani na sio kuingia madarakani?
Kila Uchaguzi CHADEMA wanasimamisha mgombea Urais lakini kiuhalisia Mwenyekiti anajua nini kitatokea .
Tume Huru kwa Huu upinzani wenye mamluki Itasaidia nini? Kwanini kina Mnyika ,Heche ,Tundu lissu,Lema ,Msigwa na wajumbe wengine..msifanye jambo Chama kiwe Imara?
Je, kuelekea 2025 tuendelee kuwaamini CHADEMA ya Aina hii? Najua kwenye ubunge upinzania utashinda sana vijana jipangeni.
wana mbinu nyingi sanaCCM mnamuogopa sana eeeh? Kwnn mnataka mbowe aondoke kwenye uenyekiti? Mnajifanya mna huruma na chadema saaaana kumbe mbowe ni kikwazo kwenu ktk kuisambaratisha chadema eeeh. Mlifanikiwa kuisambaratisha NCCR Mageuzi kwa kuwa haikuwa na mkiti strong, ikazaliwa TLP ambayo ilikuwa ni CCM B kwa 100%
Bado NCCR Mageuzi ikajikongoja weee lkn mkaona haitoshi mkawaalika wahuni na hatimaye imesambaratika mazima sasa mkaenda CUF, hatimaye nayo iko hoi bin taabani. ACT Wazalendo iko chini yenu vzr kbs. Siku ikifika Mhe Mbowe atakaa pembeni lkn sio kwa kutushinikiza.
Kwani chamadema kinafanyaje kinachofanya uone kuwa ndio chama cha kweli cha upinzani?nakumbuka Lissu aliwahi kusema ACT hakijawahi kuwa chama cha upinzani ila baadaye ACT na Chadema wakajakuungana na kusimamisha mgombea mmoja.Nje ya chadema hakuna chama pinzani ...na hilo mnalijua
Ndiyo. Ana uwezo kizidi wote hapa tanzania, unasemaje Sasa!!Mbowe ana muda gani kama Mwrnyekiti ?yeye ndiye mwenye uwezo kuliko wengine ?
Mbowe chanzo Chadema isiende ikulu.madai yapi dhaifu
Ila Mbowe ni mwiba mchungu sana kwa ma CCM siku akiondoka watafanya sherehe.
Ana miaka mingi,atajiuzulu tukifikia malengo.nyerere 1961 Hadi 1985Mbowe ana muda gani kama Mwrnyekiti ?yeye ndiye mwenye uwezo kuliko wengine ?
Mnaambiwa ukweli mnaanza kuleta mapenzi badala ya siasa ,mtakapotambua kuwa mbowe ni pandikizi ndipo mtakuwa mmejielewaCCM mnamuogopa sana eeeh? Kwnn mnataka mbowe aondoke kwenye uenyekiti? Mnajifanya mna huruma na chadema saaaana kumbe mbowe ni kikwazo kwenu ktk kuisambaratisha chadema eeeh. Mlifanikiwa kuisambaratisha NCCR Mageuzi kwa kuwa haikuwa na mkiti strong, ikazaliwa TLP ambayo ilikuwa ni CCM B kwa 100%
Bado NCCR Mageuzi ikajikongoja weee lkn mkaona haitoshi mkawaalika wahuni na hatimaye imesambaratika mazima sasa mkaenda CUF, hatimaye nayo iko hoi bin taabani. ACT Wazalendo iko chini yenu vzr kbs. Siku ikifika Mhe Mbowe atakaa pembeni lkn sio kwa kutushinikiza.
Kuuumbeee!!!!!Mlifanikiwa kuisambaratisha NCCR Mageuzi kwa kuwa haikuwa na mkiti strong, ikazaliwa TLP ambayo ilikuwa ni CCM B kwa 100%
Bado NCCR Mageuzi ikajikongoja weee lkn mkaona haitoshi mkawaalika wahuni na hatimaye imesambaratika mazima sasa mkaenda CUF, hatimaye nayo iko hoi bin taabani. ACT Wazalendo iko chini yenu vzr kbs. Siku ikifika Mhe Mbowe atakaa pembeni lkn sio kwa kutushinikiza.
CDM=MBOWE=CCMkuna uwezekano CDM ina pata support kwa CCM
Hatujawahi kuungana na ActKwani chamadema kinafanyaje kinachofanya uone kuwa ndio chama cha kweli cha upinzani?nakumbuka Lissu aliwahi kusema ACT hakijawahi kuwa chama cha upinzani ila baadaye ACT na Chadema wakajakuungana na kusimamisha mgombea mmoja.
Chadema ndio imekuwa hivyo miaka kusema vyama wenzie kuwa sio vyama vya upinzani na ni tokea zamani hiyo tabia.
Lini chawa akawa na akili za kujitegemea ??? Ww endelea kuwa mdudu chawa hivyo hivyoTanzania hakuna chama madhubuti cha upinzani cdm ni wapiga dili tu.
CCM wabaki tu madarakani muhimu wajisahihishe walipokosea.
Sawa.Hatujawahi kuungana na Act
Ngoja nisome commentsHabari JF,
Kuna kitu hakiko sawa katika siasa za Tanzania. Kama ilivyo kwa viongozi na wanachama wakongwe wa vyama vya upinzani wengi wao walitoka CCM.
Kwa kipindi hicho kuunda kwao vyama vya siasa ilikuwa ni kuhakikisha kuna mfumo wa vyama vingi na SIO KUCHUKUA NCHI, hivyo viongozi hao walikuwa wanajua fika wanaingia kwenye uchaguzi lakini mshindi ni CCM.
Mfano mzuri kina Mzee Mrema, Mbowe na wengine wengi waliingia kwenye huu mfumo kuhakikisha Tanzania inakuwa na mfumo wa vyama vingi kama matakwa ya nje ili tuweze kusaidiwa.
CHADEMA haina ubishi ndio chama kikuu cha upinzani, wananchi wengi tunaimani nacho lakini je kinaweza kuingia Madarakani kwa Mwenyekiti Mbowe ambae anajua fika lengo lilikuwa ni kuhakikisha kunakuwa na vyama vya upinzani na sio kuingia madarakani?
Kila Uchaguzi CHADEMA wanasimamisha mgombea Urais lakini kiuhalisia Mwenyekiti anajua nini kitatokea .
Tume Huru kwa Huu upinzani wenye mamluki Itasaidia nini? Kwanini kina Mnyika ,Heche ,Tundu lissu,Lema ,Msigwa na wajumbe wengine..msifanye jambo Chama kiwe Imara?
Je, kuelekea 2025 tuendelee kuwaamini CHADEMA ya Aina hii? Najua kwenye ubunge upinzania utashinda sana vijana jipangeni.
wewe wasemaWell, hapa kiuhalisia mbowe ndio humtaki! Bas saw