Ukweli Unaonivunja Moyo Kuhusiana na hizi simu

Mkuu Mkwawa naomba unisaidie utatuzi,simu inashindwa ku-connect na Tv via USB.,ila nikijaribu simu nyungine za matoleo ya zamani zinakubali,hii ni Tecno spark 4. kama kuna jinsi nielekeze ili niwawekee watoto cartoon.
Mkuu, Nimejaribu Kucheki Spec&Features Za Hiyo Simu Yako (Tecno Spark 4) Sioni Features Za Wife Direct & USB On The Go(OTG). Kukosa Kwa Hizo Feature Ndo Mwanzo Wa Simu Yako Kushindwa Kuconnect Na Tv Yako Through Usb Wire.
Otherwise Fanya Kama Mkwawa Alivyokudirect (kama Hiyo Option Ipo).
 
Siku zinavyo kwenda matumizi yangu ya simu yanazidi kuwa madogo......sijui ndio uzee wenyewe?

Zamani nilikua nazingatia kweli specifications na matolea mapya
Lakini sasa huwa nina ka Samsung kadogo double line kwaajili ya calling na sms za kawaida

Smart phone kwaajili ya social media watsap 2, twitter, facebook, jf, na betting app basi
Email kidogo sana
Siangalii movie wala kusikiliza muziki kwa simu wala game wala sijui kupiga mapicha picha nk

Na kwa mwendo huu hata sipati tena matatizo ya chaji kila mara kama zamani
Nikiitoa simu mfukoni nawasha data nachungulia online kidogo nazima naendelea na mambo mengine

Zamani sasa khaa

Simu ni matumizi yako tu
 
- File transfer
- Usb tethering
- MIDI
- No data Transfer
Mkuu CHIEF MKWAWA nina uzoefu kidogo na smartphone,ila hizo option uki-select hazirespond mdio inazidi kuonesha kuwa iko na chaji. Nilifili labda haya matoleo hizi feature imenyimwa. Labda niifanyie factory reset.
Hata hivyo simu ni mpya ina miezi miwili.lakini kila mara inaniomba update,
Alternative kama una flash nunua waya wa otg uwe unahamisha toka kwenye simu kwenda flash, then tumia flash kuangalizia kwenye tv.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom