Hoja nzuri..ila cna hakika km kuna ukwel wowote kuna kiongoz alienda tibiwa FLU nje ya nje!!km ni kukuza apo imezd m2 angu
Bakwata Lazima wawe karibu sana na serikali ya CCM kwa kila upuuzi, maana ndio waliyoianzisha na bila CCM Bakwata lazima ife, nadhani hao wazee wanalijuwa hilo.
Haya yote ni matokeo ya wananchni kuupuza kilio cha Waislaam kwa siku nyingi juu ya Bakwata na jamii kuwaona waislaam kama watu wa vurugu pale wanapodai na kusema ukweli, kama jamii nzima bila kuagalia kabila wa dini zao wangeungana na Waislaam tokea zamani katika malalamiko yao juu ya Bakwata kuwa ni chombo cha Serikali na CCM badala dini ya Kiislam tusingefika hapa. Waislam tumesema hili miaka mingi sana lakini kila mtu alituona kama wapiga kelele tu!
Hayo ni matunda ya mti tulio usiha sote tukubali na tujisahishe pale tulipokosea, sasa naona kama Waislaam wote wanaingia katika mtengo wa CCM kama walivyokuwa Wakatoliki siku za nyuma sasa nao watatia pamba sikioni kama Wakatoliki walivyotia pamba na kuimba nyimbo za kipuuzi kuwa Waislaam hawajasoma, hawataki shule nk, sasa wanaimba Wakatoliki ni CDM, wanavurugu, wanachanga dini na siasa, wanaiunga CDM mkono nk. mwisho wa siku CCM wanakuwa wametekeleza matakwa yako na nchni inaendelea kunyonywa na wachache huku wengi wakifa kwa kuumwa na mbu tu! wakati wao wakiumwa hata mafua haraka kupata matibabu nje ya nchni.
Ni mpaka sisi sote tutakapo weka mbele Utaifa kuliko hata dini zetu ndipo tutajenga hili Taifa, lakini kama dini zetu zipo mbele kuliko lolote hakika hatutaweza kupata taifa moja milele na milele.