kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
Kwa nini mtu apigwe mawe mpaka kufa eti kisa kubadili dini? Sio haki, nyie waislamu mambo mengine sio ya kuzungumza zama hizi.
Hapo anamaanisha yule CD wa Igunga,muhalifu aka popo kwa kitendo alichofanya cha kuwaingiza mkenge,waislam njaa kama akina Rejao,ritz,FF na wengineo anastahili kula stone za nguvu mpaka aingie kaburini.