Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,735
- 6,281
Haya malalamishi yamekuwapo siku nyingi sana toka kwa Mabenki kuhusiana na Kampuni za mawasiliano kufanya kazi kama Benki za Akiba yaani zaidi ya Mobile Transfers (Mfano Moneygram, Western Union, n.k) pia watu wengi sana wamekuwa wakihifadhi pesa kwenye akaunti zao za huduma za kifedha kwenye mitandao yao.
It was a matter of time kwa Serikali kuja kusikiliza kilio hiki na kuja na muafaka kwa hii hali. Nadhani huu ni mwanzo tu katika hii ishu ya biashara za kuhifadhi fedha.
Wakati wananchi na makampuni ya kimawasiliano wakilalamikia kuhusu Tozo za huduma ya miamala ya simu, Benki kuu ya Tanzania imelegeza masharti ya kusajili Mawakala wa benki. Hili litarahisisha kusambaa kwa huduma hii ya kibenki mitaani hivyo kufidia pengo litakalotokea baada ya watu kupunguza matumizi ya miamala hii iliyoongezewa tozo.
Swali ni Je Haya Mabenki yako nyuma ya huu mpango ama ndo kufa kufaana ? ...
Kazi na iendelee!
It was a matter of time kwa Serikali kuja kusikiliza kilio hiki na kuja na muafaka kwa hii hali. Nadhani huu ni mwanzo tu katika hii ishu ya biashara za kuhifadhi fedha.
Wakati wananchi na makampuni ya kimawasiliano wakilalamikia kuhusu Tozo za huduma ya miamala ya simu, Benki kuu ya Tanzania imelegeza masharti ya kusajili Mawakala wa benki. Hili litarahisisha kusambaa kwa huduma hii ya kibenki mitaani hivyo kufidia pengo litakalotokea baada ya watu kupunguza matumizi ya miamala hii iliyoongezewa tozo.
Swali ni Je Haya Mabenki yako nyuma ya huu mpango ama ndo kufa kufaana ? ...
Kazi na iendelee!