Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 6,507
- 11,016
1 YOH. 4:1 SUVNaona imebidi mfanye mkutano wa haraka baada ya kuona nguvu ya kutisha ya kristu kwa huyu mtumishi.
Unachotaka kutuaminisha ni kwamba mema yote au nguvu zote za mema zinatoka kwenye ufalme wenu.Kama wanavyoaminisha mafanikio ya Freemason.
Kwa kifupi ni kwamba unaitaji nguvu ya roho mtakatifu kumtambua mtumishi wa mwenyezi Mungu.Kwa matunda ya kazi zao pia utawatambua.
Wewe Mshana tunakutambua kwa uchambuzi mzuri wa mada unazoleta na kwa akiri ya kawaida tu bila kutumia nguvu nyingi unajulikana ni mtu wa imani gani hata ukijitahdi kumtetea Mungu wa imani za wengine.
Kadri huyu mtumishi mnavyomuinukia kupitia hata Makanisa ambayo hayana roho wa Mungu na waandishi wengine ambao wengi wao ni wanafiki,ndivyo dunia inavyojaribu kumfanyia utafiti wa ndani na kumkubali.Ndio maana uwezi kukuta kaweka mabango ya kutangaza kanisa lake ukifika Lagos,kwa sababu watu kama wewe Mshana na huyo mwandishi wa kitabu mnatosha kumtangaza na watu wakafuatilia ukweli.Kwa kukusaidia tu fuatilia Chanel ya Kikristu inayoongoza Duniani kwa kuwa na watazamaji wengi na pia usisahau kwenda YouTube.Hapo ndipo ujue mnafanya kazi nzuri sana wewe pamoja na mwandishi wako wa kitabu na hao wanaolalamika kubakwa au watoto wao kubakwa.
Mwisho ,naomba uwe mkweli hujamfuatilia huyu mtumishi katika roho na kweli,roho iliyokuwa inamfuatilia ni ya upinzani kwa hiyo uwezi kuona au kuonyeshwa zuri juu yake,kama na Mimi nisivyokuamini hivyo hata kama una jema naona uchawi tu .
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani.
Mkuu unajua namna ya kuzijaribu roho?