mbaritsamenya
JF-Expert Member
- Apr 28, 2019
- 433
- 499
Yani una maanisha wame mgonga mbele wakaruka ukuta wakala Tigo wakamvunja mguu daa kweli binadam wa baya
Wapuuzi mnaounga mkono. Mama Mwalimu kabakwa, kalawitiwa, kapigwa, kavunjwa miguu. Kisa mtihani ambao bado wameshindwa kuprove kama Ali fanya. Unyama huu uungwe mkono hivyo?’ Sheria hakuna!? Kuna mashetani kweli hata huku?!