We fala sana yaani ....!! Watu kama nyie ndio akina Job Ndugai wa baadae. Ni janga kwa Taifa.
Mnaendelea Kedemka? Nilidhani mama alivyowanyoosha Jana mmeacha kukata viuno?
haya maswali muulize ndugai.kosa letu ni lipi sasa apo? kwan kuna tulichowasingizia apo?