kipapi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 1,056
- 1,374
- Thread starter
- #61
Mkuu nimekuelewa vizuri Allah akujaze kheri zaidi na zaidi.Habari tena mkuu kama nilivyokwambia kuwa umekosea kujumlisha jina hapo ndivyo hali halisi ilivyo tizama wewe ni mtanzania tukileta vema thamani ya jina lako mara nyingi kiarabu linaandikwa اللي حلك ungekuwa mwarabu tungesema علي
lakini kwa kuwa ulipewa jina na watu waliokuwa katika range za kiafrica kwa kutoa kwa wazungu wakakuita Ally sasa kwa thamani ya herufi hizi ا = 1 ل=30 ل=30 ي=10 kwa hiyo kwa jina lako tunakuwa tayari tumepata thamani ya idadi yako ni 71 tukirejea kwa mama tunasema ح ni 8 ل ni 30, na ك ni 20 hapo tutapata 58 ambayo tukijumlisha mama na wewe tunapata 129
sasa tukianza kuivunja thamani hizo tupate nyota moja kwako kati ya 12 tunakuta kuwa kwa 72 itabaki 57 na hiyo ukivunja na 12 itaingia 48 ambapo itaiua kwa 9 sasa umejua kuwa nyota ya Jina lako ipo hapo kwenye 9?
Tarehe ya kuzaliwa upo kwenye simba
jina lako upo kwa punda
na jina la mama upo kwa Mshale
Kiujumla kwa fahamu za elimu ya watu wenye elimu kubwa tunasema wewe katika nyota za asili nne au maada nne nyota yako wewe ni moto
karti ya nyota nne
ambazo ni
Maji
Upepo
Udongo
Moto
Umeelewa?
fuata asili tu ya nyota zako maana teyari unaasili tatu kuu za nyota ambayo ni kigeugeu, nyuso mbili na Thabiti.
na watu kama wewe wakienda kwa wataalamu wasio na maarifa ni kuvurugwa tu nyota
Rakims
Ila kwenye calculation tumepata 129 umeivunja vunja vipi mpaka ukapata 72, ikaja 57, ikaja 48 mwisho ukapata namba 9. Yaani hapo ulivyokokotoa mpaka mwisho ukaipata namba 9
Msaada wako mkuu Rakims