Ndugu naomba unielewe (kuamini kuwa JF is a home of GREAT THINKERS);Kwanini kudhania?????!! Au kuna mahali nimeitaja dar????
Sina hakika kama kuna wanaoumwa Korona leo wanajipeleka hospitali kwa kufuatana na kauli mbiu ya Mkuu. Kama wapo fine. Hiyo ndo maana ya SIDHANI.
Lock down ilikuwa inahusu DAR tu. Sijawahi kusikia watu wakizungumzia ku-lock down Mtwara,Lindi wala Ruvuma. Vinginevyo naomba unikumbushe.
Asante.