bigmind
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 12,456
- 12,666
Nilikua najaribu kumtazama mbwana samatta leo nikagundua jamaa sio kwenye mpira tu hata kwenye mavazi yuko vizuri sana tena kushinda hawa mabishoo wa bongo fleva, Na tena sio mavazi tu hata Gari anayoendesha hakuna msanii mwenye nayo hapa bongo lakini still jamaa ni cool na hana mbwembwe,I respect that.
Wewe ndiyo bwege kabisa kwani yeye wa wapi?