Umeandika Utopolo kwa kudhani kuwa unamsema Rais wa sasa kumbe unamsema kipenzi chako Magufuli ambaye makabuli yake yanafukuliwa huku sssa hivi.Kama ulkuwa humjui Kigogo2014, na mvujisha taharifa wa serkali ya magu, basi ujue kuwa ndy huyo huyo bibi mvimba macho au muuwaji wa chini chini.
huyo maza ni hatar sana, japo weng mnamchukulia simple, sabbu ya sura yke ya upole&ukimya.
huyo ni zaid ya. Kwa matukio ya chini chini na unafiki
huyo bibi yenu mtakuja kumjua vzr baada ya yey kuachia nchi, na urais kushikwa na mtu mwngne akianza kufukua mafile yake, kma ilivyo tamadun ya hii nchi, kwa wanasiasa kuchafuana na kulipiana visasi.