Ukweli ni kwamba Rais Samia hakuwa pamoja na Hayati Magufuli

Ana miaka 5 ya kujijenga yeye mwenyewe, ila kujijenga kwake nje ya JPM ni kweli, ni sawa na samaki nje ya maji. Time will tell
Mashabiki wake wanamujaza upepo,wamuulize JPM siku wakitwaliwa,jinsi alivyoponea chupuchupu enzi za Lowassa.
Alishinda kwa mbinde.
 
Unafiki siyo tusi wala neno baya.

Samia pamoja na kuwa alikuwa msaidizi wa Hayati JPM lakini kwa matendo yake ni wazi aliishi na marehemu kinafiki.

Huwezi kuyapuuza ya msaidizi wako endapo ulikuwa naye sawa katika utendaji na kosa kubwa alilolifanya ni kutokujiuzulu ili angalau historia ingekuwa upande wake.

Lakini kwa namna anavyofanya sasa kuyapongeza ya JPM kinafiki si haki hata kidogo.

Yeye afanye yake na asijifiche katika uswahili bwana, tumechoka na hadithi zake.
Hapa Mswahili ni NANI SASA
 
Mwendazake alikuwa msaidizi wa Kikwete, tunaomba utuambie kwa alivyokuwa akimponda hadharani na kubadilisha kila kitu, je Mwendazake alikuwa pamoja na Kikwete au alikuwa mnafiki? Watu mjue kwamba ubaya wowote unaoufanya kwa watu, na wewe utafanyiwa ubaya huohuo, hata kwa vizazi vyako. Maisha ya urais ya Mwendazake yalionyesha unafiki mkubwa aliokuwa nao wakati wa Kikwete.
Naam
 
Unafiki siyo tusi wala neno baya.

Samia pamoja na kuwa alikuwa msaidizi wa Hayati JPM lakini kwa matendo yake ni wazi aliishi na marehemu kinafiki.

Huwezi kuyapuuza ya msaidizi wako endapo ulikuwa naye sawa katika utendaji na kosa kubwa alilolifanya ni kutokujiuzulu ili angalau historia ingekuwa upande wake.

Lakini kwa namna anavyofanya sasa kuyapongeza ya JPM kinafiki si haki hata kidogo.

Yeye afanye yake na asijifiche katika uswahili bwana, tumechoka na hadithi zake.
Samia ana akili, hawezi kuwa pamoja na yule asiyejielewa
 
Mara Mimi na Magufuli ni kitu kimoja,yeye mwenyewe alishasema viatu vya jabali la Afrika haviwezi,mashabiki msijipe matumaini hewa.
Jabali wa wanyonge na wajinga wengine 👇

Screenshot_20211129-132448.png
 
Unafiki siyo tusi wala neno baya.

Samia pamoja na kuwa alikuwa msaidizi wa Hayati JPM lakini kwa matendo yake ni wazi aliishi na marehemu kinafiki.

Huwezi kuyapuuza ya msaidizi wako endapo ulikuwa naye sawa katika utendaji na kosa kubwa alilolifanya ni kutokujiuzulu ili angalau historia ingekuwa upande wake.

Lakini kwa namna anavyofanya sasa kuyapongeza ya JPM kinafiki si haki hata kidogo.

Yeye afanye yake na asijifiche katika uswahili bwana, tumechoka na hadithi zake.
Hata ningekuwa Mimi ndiyo SSH yaani kila kitu cha Yule dictator nitatupilia mbali tena mbali mno mile za kutosha. Yaani nitaambatanaje na mtesaji Yule, mgawa watanzania kwa ukanda na ukabila, mtesaji wa viongozi waandamizi wa Chama, mdhalilishaji, mtesi wa wafanyabiashara, mwizi bila mtutu (voice ya wabunge kadhaa) ya pesa za wafanyabiashara, utekaji usiojulikana, upotevu wa wananchi kadhaa mpaka leo hawajulikani walipo waliompinga, Ile miili ya Ramboni hapa siisemei maana huenda ilikuwa inatokea kuzimu ila toka SSH ameingia madarakami kuzimu wameacha kutuletea maiti katika fukwe za bahari na waliojinyonga kimuujiza, mikopo ya Siri (hapa namezea na maji kabisa maana tulijitapa hakuna mkopo tunajitegemea). Yaani orodha ni ndefu ngoja ninywe kwanza maji.

Ila yapo mazuri alifanya. Nikipata muda nitaandika. Ila yalifunikwa na mabaya😭😭😭😭
 
Wewe huyo mama Jumong anaogopa hata kwenda kuisalimia familia ya Magufuli yaani tokea afriki hajawahi kwenda kuisalimia familia yeye kama yeye iwe Dar au Chato anakuja kwenye ziara zake tu nakuzuga anaondoka! Yaani huyu mama alikuwa mnafiki sana kwa Magufuli!
Muacheni mama apige kazi. Kila zama na kitabu chake
 
Yule alikua anawaponda watangulizi wake laivu. Akadiriki kusema wanawashwa. Akaenda mbali kuwatuma wahuni akina sabaya, hapi, makonda na musiba wawatukane na kuwazodoa hadharani. Mwacheni avune alichopanda na kukipalilia.
Barikiwa mno mkuu. Hakusema hata zuri Moja la waluliomtamgulia. Alinanga hadharani. Alijifajya kila kitu ni yeye na hakuthamini mchango wao. Avune alichopanda. Hakusifu na hatokaa asifiwe. Labda Mashetani wenzake huko kuzimu wamsifu kwa uwakilishi wao mzuri duniani. Full stop. Long Live Her Excellency SSH. None like her.
 
Wewe huyo mama Jumong anaogopa hata kwenda kuisalimia familia ya Magufuli yaani tokea afriki hajawahi kwenda kuisalimia familia yeye kama yeye iwe Dar au Chato anakuja kwenye ziara zake tu nakuzuga anaondoka! Yaani huyu mama alikuwa mnafiki sana kwa Magufuli!
Alivyomtesa mpaka attempt ya kujiuzulu inatosha. Yaani aende huko kufanya nini? Aliteswa vya kutosha. Mwacheni Rais wa Tanzania nzima afanye KAZI yake. Tulikuwa na Rais wa Kanda ya Ziwa pekee na hususan Chato na Ikulu ilihamishia Kule. Tuache tusitapike mengi aisee. Sasa tunaye Rais wa nchi Mkuu.
 
Hivi kama una akili timamu utakuwaje pamoja na mtu ambaye;-
1.Anaagiza Mtu apigwe risasi hadharani tena mchana kweupe?
2.Anampoteza kijana kisa kahoji uhalali wa Phd yake ikiwa move ya vyeti feki kaianzisha mwenyewe?
3.Anaenyamazia kimya kundi la teka teka!poteza poteza na Ua ua watu hovyo???
4.Anaetaka kuongeza muhula wa kuongoza kisa akiogopa nongwa toka kwa hao anaowatesa na kuua ndugu zao???
HATA MIMI NINGEISHI NAE KINAFIKI KABISA AISEH!!!
Umegonga penyewe mkuu. Bravo
 
Wewe huyo mama Jumong anaogopa hata kwenda kuisalimia familia ya Magufuli yaani tokea afriki hajawahi kwenda kuisalimia familia yeye kama yeye iwe Dar au Chato anakuja kwenye ziara zake tu nakuzuga anaondoka! Yaani huyu mama alikuwa mnafiki sana kwa Magufuli!
Daaah nyie yaani rais na amiri jeshi mkuu agope familia tena ya marehemu kuwwni seriously kidogo
 
Kama ulkuwa humjui Kigogo2014, na mvujisha taharifa wa serkali ya magu, basi ujue kuwa ndy huyo huyo bibi mvimba macho au muuwaji wa chini chini.

huyo maza ni hatar sana, japo weng mnamchukulia simple, sabbu ya sura yke ya upole&ukimya.

huyo ni zaid ya. Kwa matukio ya chini chini na unafiki

huyo bibi yenu mtakuja kumjua vzr baada ya yey kuachia nchi, na urais kushikwa na mtu mwngne akianza kufukua mafile yake, kma ilivyo tamadun ya hii nchi, kwa wanasiasa kuchafuana na kulipiana visasi.
Polisi wa CCM akikosea kupiga lazima...ahahaha
 
Kama mtu anaandika historia yake tangu amepata kazi mpaka anastaafu kweli yangeandikwa mengi

Wengine wana maumivu wanayaachia polepole
 
Unafiki siyo tusi wala neno baya.

Samia pamoja na kuwa alikuwa msaidizi wa Hayati JPM lakini kwa matendo yake ni wazi aliishi na marehemu kinafiki.

Huwezi kuyapuuza ya msaidizi wako endapo ulikuwa naye sawa katika utendaji na kosa kubwa alilolifanya ni kutokujiuzulu ili angalau historia ingekuwa upande wake.

Lakini kwa namna anavyofanya sasa kuyapongeza ya JPM kinafiki si haki hata kidogo.

Yeye afanye yake na asijifiche katika uswahili bwana, tumechoka na hadithi zake.
Kama umechoka si uhame nchi! Mama Samia oyeeeee!
 
Unafiki siyo tusi wala neno baya.

Samia pamoja na kuwa alikuwa msaidizi wa Hayati JPM lakini kwa matendo yake ni wazi aliishi na marehemu kinafiki.

Huwezi kuyapuuza ya msaidizi wako endapo ulikuwa naye sawa katika utendaji na kosa kubwa alilolifanya ni kutokujiuzulu ili angalau historia ingekuwa upande wake.

Lakini kwa namna anavyofanya sasa kuyapongeza ya JPM kinafiki si haki hata kidogo.

Yeye afanye yake na asijifiche katika uswahili bwana, tumechoka na hadithi zake.
Huwajui Wanzanzibari wewe! Anakuchekea kweri kweri na kukupa biriani kumbe kaliwekea sumu! Ushanfahamu!???
 
Unafiki siyo tusi wala neno baya.

Samia pamoja na kuwa alikuwa msaidizi wa Hayati JPM lakini kwa matendo yake ni wazi aliishi na marehemu kinafiki.

Huwezi kuyapuuza ya msaidizi wako endapo ulikuwa naye sawa katika utendaji na kosa kubwa alilolifanya ni kutokujiuzulu ili angalau historia ingekuwa upande wake.

Lakini kwa namna anavyofanya sasa kuyapongeza ya JPM kinafiki si haki hata kidogo.

Yeye afanye yake na asijifiche katika uswahili bwana, tumechoka na hadithi zake.
Kila siku unalamika unechoka, ponda chupa kunywa ufe. Mfuate huyo DIKTETA mnayemuabudu. Rais ni Samia, period
 
Unafiki siyo tusi wala neno baya.

Samia pamoja na kuwa alikuwa msaidizi wa Hayati JPM lakini kwa matendo yake ni wazi aliishi na marehemu kinafiki.

Huwezi kuyapuuza ya msaidizi wako endapo ulikuwa naye sawa katika utendaji na kosa kubwa alilolifanya ni kutokujiuzulu ili angalau historia ingekuwa upande wake.

Lakini kwa namna anavyofanya sasa kuyapongeza ya JPM kinafiki si haki hata kidogo.

Yeye afanye yake na asijifiche katika uswahili bwana, tumechoka na hadithi zake.
Magufuli alikuwa peke yake tu, Hatuwezi kujua ni maneno/matusi gani alikuwa anawatukana wasaidizi wake kwenye vikao au kupitia simu.
Kama tu aliweza sema hadharani atapiga mashangazi wa Mtendaji Mkuu wa Serikali ambaye ni Msaidizi wake, unategemea Magufuli atakuwa na nani?
 
Back
Top Bottom