Pamoja na Tanzania kuingia nchi za uchumi wa kati, bado inaendelea kuwa katika kundi la Nchi Masikini Kuliko Zote Duniani (LDC)

Synthesizer

JF-Expert Member
Feb 15, 2010
11,143
18,774
NI kweli hakuna cha kushangilia wala kujisifia kwamba sasa tumekuwa katika kundi la nchi zenye uchumi wa kati. Kumbukeni kwamba watu hao hao wanaosema Tanzania sasa iko uchumi wa kati, ndio wanaotoa vigezo vya kuendelea kuiweka Tanzania katika kundi la Nchi Masikini Kuliko zote Duniani (LDCs)

Sababu kubwa ni kwamba kuna vigezo viwili zaidi ya GNIP vinavyotumika kuamua kama nchi ni masikini au la na kuiweka au kutoiweka kwenye kundi la ncho masikini kuliko zote duniani.

Hadi sasa kuna nchi 31 ambazo ziko katika kundi za LDC na zina uchumi wa chini, na nchi 18 ambazo zina uchumi wa kati lakini bado ni LDC.

Swali la kujiuliza ni kwamba, kwa nini Tanzania ni LDC, moja ya nchi masikini kuliko zote duniani?

Wale tulio na akili tuendelee kusubiri Tanzania kujitoa katika kundi la nchi masikini kuliko zote duniani.

Na wengine endeleeni kushangilia na kupongezana na kumsifia Raisi Magufuli juu ya Tanzania kuingia uchumi wa kati, lakini ukweli ni kwamba Tanzania bado ni moja ya nchi 47 duniani ambazo ni masikini kuliko zote duniani - LDC!

1593780054351.png
 
NI kweli hakuna cha kushangilia wala kujisifia kwamba sasa tumekuwa katika kundi la nchi zenye uchumi wa kati. Kumbukeni kwamba watu hao hao wanaosema Tanzania sasa iko uchumi wa kati, ndio wanaotoa vigezo vya kuendelea kuiweka Tanzania katika kundi la Nchi Masikini Kuliko zote Duniani (LDCs)

Hadi sasa kuna nchi 31 ambazo ziko katika kundi za LDC na zina uchumi wa chini, na nchi 18 ambazo zina uchumi wa kati lakini bado ni LDC.

Swali la kujiuliza ni kwamba, kwa nini Tanzania ni LDC, moja ya nchi masikini kuliko zote duniani?

Wale tulio na akili tuendelee kusubiri Tanzania kujitoa katika kundi la nchi masikini kuliko zote duniani.

Na wengine endeleeni kushangilia na kupongezana na kumsifia Raisi Magufuli juu ya Tanzania kuingia uchumi wa kati, lakini ukweli ni kwamba Tanzania bado ni moja ya nchi 41 duniani ambazo ni masikini kuliko zote duniani - LDC!

Ilikuwa LDC ila sasa siyo LDC. Harafu LDC siamini tafsri yake kama ni masikini kuliko zote duniani.
 
NI kweli hakuna cha kushangilia wala kujisifia kwamba sasa tumekuwa katika kundi la nchi zenye uchumi wa kati. Kumbukeni kwamba watu hao hao wanaosema Tanzania sasa iko uchumi wa kati, ndio wanaotoa vigezo vya kuendelea kuiweka Tanzania katika kundi la Nchi Masikini Kuliko zote Duniani (LDCs)

Hadi sasa kuna nchi 31 ambazo ziko katika kundi za LDC na zina uchumi wa chini, na nchi 18 ambazo zina uchumi wa kati lakini bado ni LDC.

Swali la kujiuliza ni kwamba, kwa nini Tanzania ni LDC, moja ya nchi masikini kuliko zote duniani?

Wale tulio na akili tuendelee kusubiri Tanzania kujitoa katika kundi la nchi masikini kuliko zote duniani.

Na wengine endeleeni kushangilia na kupongezana na kumsifia Raisi Magufuli juu ya Tanzania kuingia uchumi wa kati, lakini ukweli ni kwamba Tanzania bado ni moja ya nchi 41 duniani ambazo ni masikini kuliko zote duniani - LDC!
We are ready to take off and we cerebrate our achievement stepwise!
 
NI kweli hakuna cha kushangilia wala kujisifia kwamba sasa tumekuwa katika kundi la nchi zenye uchumi wa kati. Kumbukeni kwamba watu hao hao wanaosema Tanzania sasa iko uchumi wa kati, ndio wanaotoa vigezo vya kuendelea kuiweka Tanzania katika kundi la Nchi Masikini Kuliko zote Duniani (LDCs)

Hadi sasa kuna nchi 31 ambazo ziko katika kundi za LDC na zina uchumi wa chini, na nchi 18 ambazo zina uchumi wa kati lakini bado ni LDC.

Swali la kujiuliza ni kwamba, kwa nini Tanzania ni LDC, moja ya nchi masikini kuliko zote duniani?

Wale tulio na akili tuendelee kusubiri Tanzania kujitoa katika kundi la nchi masikini kuliko zote duniani.

Na wengine endeleeni kushangilia na kupongezana na kumsifia Raisi Magufuli juu ya Tanzania kuingia uchumi wa kati, lakini ukweli ni kwamba Tanzania bado ni moja ya nchi 41 duniani ambazo ni masikini kuliko zote duniani - LDC!
nafikiri cha kujiuliza na ni kwamba sisi binafsi tumefanya nini kuhakikisha nchi imekuwa tajiri?
kama wewe ni graduate na hujaweza kuajiri watu hata watatu au kazi unayofanya haina impact ya uchumi kwa jamii ujue bado unadeni kubwa sana kwa watanzania.
 
Exports numbers provided by BOT are FAKE because the country is income from exports are decreasing therefore there is no way for per capita income to increase NO WAY.

Unajua transactions inavyofanyika internationally? Lazima kila hela unapo export World bank inafanya transactions.
Kila central bank ya nchi ina account World Bank ambayo inakuwa deductedkwa kila muhamala. No way world bank uta wadanganya export yako, No way.
 
NI kweli hakuna cha kushangilia wala kujisifia kwamba sasa tumekuwa katika kundi la nchi zenye uchumi wa kati. Kumbukeni kwamba watu hao hao wanaosema Tanzania sasa iko uchumi wa kati, ndio wanaotoa vigezo vya kuendelea kuiweka Tanzania katika kundi la Nchi Masikini Kuliko zote Duniani (LDCs)

Hadi sasa kuna nchi 31 ambazo ziko katika kundi za LDC na zina uchumi wa chini, na nchi 18 ambazo zina uchumi wa kati lakini bado ni LDC.

Swali la kujiuliza ni kwamba, kwa nini Tanzania ni LDC, moja ya nchi masikini kuliko zote duniani?

Wale tulio na akili tuendelee kusubiri Tanzania kujitoa katika kundi la nchi masikini kuliko zote duniani.

Na wengine endeleeni kushangilia na kupongezana na kumsifia Raisi Magufuli juu ya Tanzania kuingia uchumi wa kati, lakini ukweli ni kwamba Tanzania bado ni moja ya nchi 41 duniani ambazo ni masikini kuliko zote duniani - LDC!
Watu wanafikiri kuwa nchi tajiri unapewa kwa propaganda za kisiasa. Bado tupo pasipo pazuri sana na kazi inahitajika.
 
NI kweli hakuna cha kushangilia wala kujisifia kwamba sasa tumekuwa katika kundi la nchi zenye uchumi wa kati. Kumbukeni kwamba watu hao hao wanaosema Tanzania sasa iko uchumi wa kati, ndio wanaotoa vigezo vya kuendelea kuiweka Tanzania katika kundi la Nchi Masikini Kuliko zote Duniani (LDCs)

Hadi sasa kuna nchi 31 ambazo ziko katika kundi za LDC na zina uchumi wa chini, na nchi 18 ambazo zina uchumi wa kati lakini bado ni LDC.

Swali la kujiuliza ni kwamba, kwa nini Tanzania ni LDC, moja ya nchi masikini kuliko zote duniani?

Wale tulio na akili tuendelee kusubiri Tanzania kujitoa katika kundi la nchi masikini kuliko zote duniani.

Na wengine endeleeni kushangilia na kupongezana na kumsifia Raisi Magufuli juu ya Tanzania kuingia uchumi wa kati, lakini ukweli ni kwamba Tanzania bado ni moja ya nchi 41 duniani ambazo ni masikini kuliko zote duniani - LDC!
Eti wale wenye akili naww unajijumulisha....Sasa tuambie ww una akili ujilinganisha na nani!!?
Amekupima nani?...vigezo vilivotumika ni vipi??

Mi naona huna akili kwasababu hujui n kigezo gan wanatumia kucategorise!?
Huna akili kwasababu unadhan kipato Cha Kati wanakuja kuangalia kiasi ulichonacho mfukoni??
Huna akili kwasababu unaangalia hali yako binafsi ya uchumi na unatumia hiyo kubeza...!!? Sasa naww unaakili??

Nchi kama Botswana,Cameroon,Angola, Zambia zimetuzidi nn Happo!!? Au Kenya...watu wanakufa njaa KILA mwaka turkana then iko kwenye middle income halafu uje ubwatuke hapa!?

Haiko kama unavofikiria....na usijiite mwenye akili.....labda upate wakujilinganisha
 
NI kweli hakuna cha kushangilia wala kujisifia kwamba sasa tumekuwa katika kundi la nchi zenye uchumi wa kati. Kumbukeni kwamba watu hao hao wanaosema Tanzania sasa iko uchumi wa kati, ndio wanaotoa vigezo vya kuendelea kuiweka Tanzania katika kundi la Nchi Masikini Kuliko zote Duniani (LDCs)

Hadi sasa kuna nchi 31 ambazo ziko katika kundi za LDC na zina uchumi wa chini, na nchi 18 ambazo zina uchumi wa kati lakini bado ni LDC.

Swali la kujiuliza ni kwamba, kwa nini Tanzania ni LDC, moja ya nchi masikini kuliko zote duniani?

Wale tulio na akili tuendelee kusubiri Tanzania kujitoa katika kundi la nchi masikini kuliko zote duniani.

Na wengine endeleeni kushangilia na kupongezana na kumsifia Raisi Magufuli juu ya Tanzania kuingia uchumi wa kati, lakini ukweli ni kwamba Tanzania bado ni moja ya nchi 41 duniani ambazo ni masikini kuliko zote duniani - LDC!
Hivi tutawashangaa kwa lipi ninyi lipi labda ambalo hamjawahi sema mkuu.?

1. Mliomba corona iingie Tanzania hata kabla ya kuingia mkijinadi kwamba mtafurahi nchi hii ikiokota maiti mitaani

Corona ikaja iladhibitiwaatarajio yenu hayakua, mkaishia kunyamaa kwanaibu

2. Mkaenda Marekani mkavaa na suti ili kujifananisha nao mkapiga goti, mkalamba miguu Tanzania inyimwe misaada kwakua watoto wenye mimba hawatasima shule za Serikali

Mkopo ukatolewa, maisha yakaendelea na sasa tuko imara kuliko Jana

3. Mkapiga kelele mkawaita MIGA mkasema tutashitakiwa kwenye mahakama za kimataifa

Leo BARICK na Tanzania Wana kampuni ya Madini inayomilikiwa kwa shares za 50/50 na mrabaha wa 16

4. Mkabwata mkashangilia wanga wakubwa mliojaa laana kubwa ninyi mkasema Mhe. Rais anaugua kapelekwa nje kwa matibabu mara taarifa za uhakika amekufa

Chuma kipo kinapiga jaramba na kuineemewha Tanzania

5. Mkaiba document mkampelekea Stan Ndege zetu zikamatwe ili deni lilipwe Ndege ikakamatwa mkashangilia watoto msio na malezi ya baba ninyi

Shirika la Ndege kinaendelea kunawiri na Ndege zinapiga kazi Kama kawaida

KILA MKIANZISHA JAMBO MNAFELI ILA HAMKIMI KUENDELEA KUJIDHALILISHA KAMA WAUZA MIILI
 
Exports numbers provided by BOT are FAKE because the country is income from exports are decreasing therefore there is no way for per capita income to increase NO WAY.
They're fake! I agree.Bring the valid one!
 
How while I am not part and parcel of the government? 😳😳😳😳



Unadai una pesa nyingi sana then if this is true why for the last five years you were unable to increase government employees’ salaries?

LIAR!

They're fake! I agree.Bring the valid one!
 
How while I am not part and parcel of the government? 😳😳😳😳



Unadai una pesa nyingi sana then if this is true why for the last five years you were unable to increase of government employees? LIAR!

The projects going on consume lots of funds. And I believe the number of government employees will rise tremendously once we're done with this task.
Aren't you the same guy who consider ground rumours rather than vivid facts?
 
I don’t buy that BS, for the first time in our country government employees went for five years without any salary increase while stupid and unnecessary projects are growing up all over the place while government employees are living in extremely POVERTY.

How do you MOTIVATE your employees if for 5 years they didn’t see a single cent as increase to their salaries while inflation is up there?

I don’t play with rumours even for a single second.

The projects going on consume lots of funds. And I believe the number of government employees will rise tremendously once we're done with this task.
Aren't you the same guy who consider ground rumours rather than vivid facts?
 
Back
Top Bottom