Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe imekuaje ukachomoka mbio huko mtaani kuja ku comment humu jamvini??? Familia yako haihitaji dona??? Bora ungekaa kimya!!Nenda huko mtaani utaona watu wapo busy kutafuta dona la kula na familia zao hiki unachokiongelea hapa kinabaki hapahapa jukwaani mtaani wa hawana habari!
"Jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni".
Kwa Hakika Huyu Mtu sasa imedhihirika kwamba Umaarufu wake ni Mkubwa kuliko tulivyodhani , na naweza kuthibitisha sasa kwamba Freeman Mbowe , ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema na Mfungwa wa kisiasa ndiye MTU MAARUFU KUPITA WOTE WALIO HAI NCHINI TANZANIA KWA SASA .
Hii ni kwa sababu hakuna taarifa yoyote sasa , iwe kutoka kwa waziri , Waziri Mkuu au Rais inayotiliwa maanani na wananchi kuzidi kesi ya uongo ya Ugaidi , maana ya jambo hili ni kwamba hakuna kiongozi yeyote katika niliowataja anayeaminiwa na wananchi kuzidi Freeman Mbowe , ukitaka kujua zaidi hebu angalia mambo mazuri kama Wachezaji wa Twiga Stars kupewa viwanja , habari hii nzuri imepuuzwa kabisa na watanzania kwa vile wote wanaangalia Mahakamani kwenye kesi ya Ustaadh Aboubakar Mbowe , nimeshangaa sana !
Hili kwetu ni funzo kubwa sana .
Hakika !"Jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni".
Kwa Hakika Huyu Mtu sasa imedhihirika kwamba Umaarufu wake ni Mkubwa kuliko tulivyodhani , na naweza kuthibitisha sasa kwamba Freeman Mbowe , ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema na Mfungwa wa kisiasa ndiye MTU MAARUFU KUPITA WOTE WALIO HAI NCHINI TANZANIA KWA SASA .
Hii ni kwa sababu hakuna taarifa yoyote sasa , iwe kutoka kwa waziri , Waziri Mkuu au Rais inayotiliwa maanani na wananchi kuzidi kesi ya uongo ya Ugaidi , maana ya jambo hili ni kwamba hakuna kiongozi yeyote katika niliowataja anayeaminiwa na wananchi kuzidi Freeman Mbowe , ukitaka kujua zaidi hebu angalia mambo mazuri kama Wachezaji wa Twiga Stars kupewa viwanja , habari hii nzuri imepuuzwa kabisa na watanzania kwa vile wote wanaangalia Mahakamani kwenye kesi ya Ustaadh Aboubakar Mbowe , nimeshangaa sana !
Hili kwetu ni funzo kubwa sana .
Chobingo wanaonekana Ibambasi, Idugunde, Jumbe Brown, johnthebaptist, Wakudadavuwa na binamu zao:
View attachment 1991718
wakipiga chanjo .
Acheni mahakama ifanye kazi msije kuja kudai haki imeminywaNa tuliwapa angalizo watawala kuwa kesi hii ni ya kihistoria na itazaa Tanzania mpya inayoongozwa na viongozi waliochaguliwa kwa ridhaa ya wananchi huku kauli mbiu yake bila kujali vyama ni visheni ya nchi yenye kusimamia Haki, Uhuru na Maendeleo ya Watu.
Mashahidi wa jamhuri sijui huwa wanatoka wapi maana maelezo yao yanatia mashaka sanaMashahidi wa Jamhuri katika ubora wao. Hata kudanganya sio huko tena khaaah. View attachment 1990220
Kila shahidi anaekuja kutoa ushahidi anamsema alietoa ushahidi kabla yake ni muongoMashahidi wa jamhuri sijui huwa wanatoka wapi maana maelezo yao yanatia mashaka sana
Hakuna connection ya story kati ya shahidi mmoja na mwingine, aliewatuma amewaponzaKila shahidi anaekuja kutoa ushahidi anamsema alietoa ushahidi kabla yake ni muongo
Kama wewe Lumumba FC unakodolea macho kwa hamu sembuse Wazalendo?Nenda huko mtaani utaona watu wapo busy kutafuta dona la kula na familia zao hiki unachokiongelea hapa kinabaki hapahapa jukwaani mtaani wa hawana habari!