Pumzi
JF-Expert Member
- Dec 5, 2013
- 321
- 54
Ukweli ni kwamba hakuna urafiki wa karibu sana kati ya msichana na mvulana...ingawa wengi huwa wanakataa lakini ukichunguza kwa makini utakuta mmoja wapo anahisia na mwenzake sema anaogopa kusema,au wote wanahisia lakini wanashndwa kusema...binafsi nimeshndwa kutengeneza urafiki na wasichana zaidi ya watano kwa kujikuta tunahishia kwenye mapenzi...hata socrates alisema hakuna urafiki wa karibu kati ya msichana na mvulana