Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,235
awe nayo basi hata hiyo hela.
Yaani siku hizi mtu hata akiwa na pesa ya kubadili mboga naye ana hela, jamani.
Kwi kwi kwi...pesa ya kudanganyishia madenti kwa chips kuku wa kisasa. kazi ipo hawa wanaume wa siku hizi.