Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Ni utaratibu mzuri tu ambao unatakiwa kuwekwa kwenye katiba ya JMT ili wananchi tusiporidhika na ahadi tulizopewa na mbunge tuliomchagua tuwe tuna uwezo kuweka azimio na likishapita huyo mbunge anatolewa kwenye nafasi hiyo na uchaguzi unaitishwa.
Wabunge wengi wanaunga mkono sera na hoja ambazo hazina maslahi kwa wananchi na taifa.
Wabunge wengi wanaishi nje ya majimbo yao ya uchaguzi zaidi ya miezi sita na wanakuja jimboni tu uchaguzi ukikaribia.
Hivyo ni wakati wa katiba yetu kufanyiwa mabadiliko haraka, kutungwa sheria namna wananchi watamuondoa mbunge asiyefaa na uchaguzi kufanyika.
Najua CCM imejaza bungeni wabunge lukuki wasiofaa na kazi yao ni kuunga mkono sera na hoja ambazo hazina maslahi kwa wananchi ndio maana wanaogopa sana.
Wabunge wengi wanaunga mkono sera na hoja ambazo hazina maslahi kwa wananchi na taifa.
Wabunge wengi wanaishi nje ya majimbo yao ya uchaguzi zaidi ya miezi sita na wanakuja jimboni tu uchaguzi ukikaribia.
Hivyo ni wakati wa katiba yetu kufanyiwa mabadiliko haraka, kutungwa sheria namna wananchi watamuondoa mbunge asiyefaa na uchaguzi kufanyika.
Najua CCM imejaza bungeni wabunge lukuki wasiofaa na kazi yao ni kuunga mkono sera na hoja ambazo hazina maslahi kwa wananchi ndio maana wanaogopa sana.