PAZIA 3
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 1,070
- 1,842
Pande zote ukizisikiliza,utagundua hazijui zinatetea nini,hii ni hatari sana kwa ustawi wa taifa letu,taasisi hizi zinatakiwa ziwe na miongozo yake kuhusiana na maswala ya kitaifa hasa siasa na siyo kusoma hoja za mitandaoni na kuzifanya ajenda zao
Refer nyalaka za taasisi hizo
Refer nyalaka za taasisi hizo