youngdonats18
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 685
- 443
Bila kupinga uwepo wa kazi nzuri ya muziki ya Darasa kwa sasa, lakini ninaamini itakapotokea Diamond kushirikishwa na Wema kwenye bongo movie ama Alikiba na Platnumz wakitoa collabo, huku Ommy dimpoz akiwa video model ndani ya mwaka huu basi ndo matukio yatakayojizolea umaarufu mkubwa na kufunga mwaka kwa headlines.
Japo cjui kati ya collabo ya Wema na Dee na ile ya Ali na Dee ipi itauza sana na kutengeneza vichwa vya habar na kuzungumziwa zaidi.
Japo cjui kati ya collabo ya Wema na Dee na ile ya Ali na Dee ipi itauza sana na kutengeneza vichwa vya habar na kuzungumziwa zaidi.