Ukweli mchungu: Wanaume hupenda mwanamke malaya kuliko mtulivu. Ndiyo maana malaya wana bahati ya kuolewa mapema kuzidi wengine

Malaya wenzangu tujuane hapa🤣🤣🤣🤣😄😄😄
Na ndiyo wachepukaji wengi wako kwenye ndoa!
Ni rahisi sana kummega mwanamke aliye ndoani kuliko binti kisura akiwa single
 
Niaje wadau.

Nimeambiwa na demu wangu kuwa niwe mvumilivu na niongeze upendo ili amsahau mchepuko wake ambae yupo nae na anampenda kuliko mimi ila jamaa hampend demu but demu anasema anashndwa kabisa kumuacha......

Sasa wadau nisaidieni jins ya kumtreat huyu manzi nimteke mazima aje kwangu... Mwanzo nilikuwa nataka kupiga na kusepa sasa nimejikuta naganda baada ya dogo kuniambia kuna pesa anaiskilizia tufanye busines.... Ni mchepuko tu lakini na ni mwanachuo.

Upendo wake kwa jamaa haiusuani kabisa na kupigwa vizuur wala kuhongwa... Anadai ni mazoea tu ananiomba nikubali kuwa mume mdogo...

Mi nimekubali kwa kuwa sio ndoa na sina mpango wowote... Ila sasa nisipomteka manzi.. iyo pesa ataidaka jamaa...

Ushauri wadau mbona za kumteka huyu mrembo.

Sent from my Redmi 8 using JamiiForums mobile app
 
Kimtazamo unaweza kudhani ni kweli wanaume hatupendi Malaya! Lakini kiuhalisia sivyo kabisa! Leo nawasanua muelewe somo hili mjifunze! Asilia (Nature) haitaweza kubadilika kamwe! Mwanaume kaumbiwa matamanio mengi mwilini! Mbaya zaidi matamanio hayo yanahitaji kutibiwa immediately pasipo kuchelewa.

Mfumo wa matamanio kwa mwanaume umekaa kama haja! Ukibanwa sharti ujisaidie hata porini almradi tu haja itoke! Hivyo pori litakalokustili Leo ukajisaidia haja hata ukiambiwa lina miimba ww hujali sana, cha mhimu unawaza ukibanwa litakustili fasta! Ndivyo ilivyo kwa mwanamke Malaya alivyo na thaman kubwa kwa mwanaume.

Mwanamke Malaya anatambuliwa na ubongo wa mwanaume kama LULU inayostarehesha! Hivyo ni rahisi sana mwanamke Malaya kuolewa kuliko huyo anaebana bana kutoa penzi! Mwanamke hata awe katoka guest kutafunwa mda huo, akipita kwa mwanaume rijali huonekana anafaida kwa matumizi ya baadae hivyo ni asset!. Kama hauamini ebu tafakari! Ebu tafakari ni Malaya wa ngapi wameolewa na tabia zao zinafahamika wazi.

Tena wengine hata ndoa 5 zote wanaolewa na matarumbeta, lakini mrembo aliyetulia tabia akizeekea nyumbani kwao! Halafu kibaya zaidi wanawake wengi waliotulia, wakiamua kutoa kutoa mbususu hujikuta wanatiwa mimba chap na kutelekezwa kwasababu hawajui mbinu za kukwepesha Mimba, hawajui kula p2, hawawezi kutoa Mimba, hawawezi mchezea mwanaume amwage inje siku za hatari, hawawezi kutoa tigo siku za hatari! Hivyo mbinu pekee ya kuepuka hayo wao HUZINGUA KUFANYA MAPENZI (umalaya) KWA KUSUBIRI NDOA na kuhesabika ni wasumbufu, wasioelewa, wabishi na katili.

Kwahiyo Nathibitisha kwenu Leo, Wanaume hupenda zaidi Mwanamke Malaya kuliko watulivu! Ewe mwanamke kama unataka ndoa chap, Jichetue, Toa Papa Mara tano halafu omba pesa Mara moja au mbili, Ukifanya hivyo kwa wanaume watatu lazima mmoja atangaze ndoa fasta! Lakini hii njia ya nipe Nikupe,yaani toa pesa kwanza ili nikupe penzi. Hakika ndoa kwenu mtaisikia.

UMALAYA WENYE MALENGO HAUCHELEWI KUJIBU.

Wanaume hupenda Malaya ingawa tunaonekana tunapinga! Hata huko bungeni yule mbunge aliyesemekana kavaa nguo za utupu, Shingo za wanaume zilikatika kwa kumgeukia kwasababu Malaya anagusa mtima! UMalaya ni kama sinki la choo! Linasemwa vibaya sana lakini kila mtu analo nyumbani kwake anafrash kimya kimya.
Hasira za kutoolewa.
 
Kama amajaanza pamoja nyote ni malaya. Ndoa nyingi ni za walokuwa malaya wastaafu waliohalalisha uzinzi
 
Malaya uoleka mapema sababu ya Wana wigo mpana wa kukutana na watu wengi ambapo chance ni kubwa



Na wanajua mbinu za kuwalaghai wanaume ili wafanye watakavyo hata Kwa kuwaroga,

Sema sasa wakishalazimisha mahusiano ya hivyo huwa havidumu au huishi kimakandamkanda.

Ingawa wapo wanawake ambao ni waaminifu lakini Kwa wanaume wao kukosa uaminifu waismua kuachia ngazi njiani!
 
Malaya au Kahaba huwa na mbinu za hila za ujanja za kuhakikisha naam-win wanaume,

Hiyo Imeandikwa hata kwenye vitabu vitakatifu.

Lakini Habari njema ni kuwa huwa ni temporarily na mwisho wake huwa mbaya sana Kwa uzoefu jinsi ulivyo!

Furaha ya mtu haipo ktk wingi wa mali au fedha alizonazo hata ziwe nyingi kiasi gani!
 
Je high risks zinazoambatana na hao malaya/makahaba/wadangaji mko tayari kuchukuliana nazo ?

Imeandikwa;

“Pasipo maono watu hushindwa kujizuia.

“Pasipo maoni watu huangamia”

Yani mtu usijijali nafsi yako unatamani kila mwanamke na kumlala mazingira yoyote?!

Ni Kheri kuwa na kinyaa!
 
Na wanajua mbinu za kuwalaghai wanaume ili wafanye watakavyo hata Kwa kuwaroga,

Sema sasa wakishalazimisha mahusiano ya hivyo huwa havidumu au huishi kimakandamkanda.

Ingawa wapo wanawake ambao ni waaminifu lakini Kwa wanaume wao kukosa uaminifu waismua kuachia ngazi njiani!
Utarogwa kama unayo pesa au mali.Mwanaume masikini alishwi limbwata.
 
Kimtazamo unaweza kudhani ni kweli wanaume hatupendi Malaya! Lakini kiuhalisia sivyo kabisa! Leo nawasanua muelewe somo hili mjifunze! Asilia (Nature) haitaweza kubadilika kamwe! Mwanaume kaumbiwa matamanio mengi mwilini! Mbaya zaidi matamanio hayo yanahitaji kutibiwa immediately pasipo kuchelewa.

Mfumo wa matamanio kwa mwanaume umekaa kama haja! Ukibanwa sharti ujisaidie hata porini almradi tu haja itoke! Hivyo pori litakalokustili Leo ukajisaidia haja hata ukiambiwa lina miimba ww hujali sana, cha mhimu unawaza ukibanwa litakustili fasta! Ndivyo ilivyo kwa mwanamke Malaya alivyo na thaman kubwa kwa mwanaume.

Mwanamke Malaya anatambuliwa na ubongo wa mwanaume kama LULU inayostarehesha! Hivyo ni rahisi sana mwanamke Malaya kuolewa kuliko huyo anaebana bana kutoa penzi! Mwanamke hata awe katoka guest kutafunwa mda huo, akipita kwa mwanaume rijali huonekana anafaida kwa matumizi ya baadae hivyo ni asset!. Kama hauamini ebu tafakari! Ebu tafakari ni Malaya wa ngapi wameolewa na tabia zao zinafahamika wazi.

Tena wengine hata ndoa 5 zote wanaolewa na matarumbeta, lakini mrembo aliyetulia tabia akizeekea nyumbani kwao! Halafu kibaya zaidi wanawake wengi waliotulia, wakiamua kutoa kutoa mbususu hujikuta wanatiwa mimba chap na kutelekezwa kwasababu hawajui mbinu za kukwepesha Mimba, hawajui kula p2, hawawezi kutoa Mimba, hawawezi mchezea mwanaume amwage inje siku za hatari, hawawezi kutoa tigo siku za hatari! Hivyo mbinu pekee ya kuepuka hayo wao HUZINGUA KUFANYA MAPENZI (umalaya) KWA KUSUBIRI NDOA na kuhesabika ni wasumbufu, wasioelewa, wabishi na katili.

Kwahiyo Nathibitisha kwenu Leo, Wanaume hupenda zaidi Mwanamke Malaya kuliko watulivu! Ewe mwanamke kama unataka ndoa chap, Jichetue, Toa Papa Mara tano halafu omba pesa Mara moja au mbili, Ukifanya hivyo kwa wanaume watatu lazima mmoja atangaze ndoa fasta! Lakini hii njia ya nipe Nikupe,yaani toa pesa kwanza ili nikupe penzi. Hakika ndoa kwenu mtaisikia.

UMALAYA WENYE MALENGO HAUCHELEWI KUJIBU.

Wanaume hupenda Malaya ingawa tunaonekana tunapinga! Hata huko bungeni yule mbunge aliyesemekana kavaa nguo za utupu, Shingo za wanaume zilikatika kwa kumgeukia kwasababu Malaya anagusa mtima! UMalaya ni kama sinki la choo! Linasemwa vibaya sana lakini kila mtu analo nyumbani kwake anafrash kimya kimya.
Kwenye mawazo yako usituhusishe wote, huo ni mtazamo wako
 
28 Reactions
Reply
Back
Top Bottom