Jimbi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2010
- 3,951
- 4,264
We jamaa una akili sana, ulifaa uwe pale magogoni ukila bata.Naunga mkono hoja, tena mpango wenyewe ni kama ule wa Masiya " ni kwa kupigwa kwake, sisi tuliponywa".
Thanks
Japo najua karma itawashughulikia watesi wake, swali linabaki, jee kwa kupigwa kwake sisi tutaponywa?.
Time Will Tell.
P.