Unaambiwa kuna mtu ana tiketi mkononi , yuko tayari kukimbia muda wowote !
Nakubaliana na wewe lakini huoni sasa kwamba wanaweza kuwa wanateseka juu ya kwa nini hawakumuua?.Walitaka kumuua walifanya kitendo kibaya sana kiubinadamu.
Kusema wanateseka ni kujifariji tu kwa sababu kama kazi zao ni kuua kwa nini wateseke. Wao watakuwa wametimiza malengo ya kazi zao.
Ni sawa na kusema wanaotengeneza siraha wanateseka kwa sababu zinatumika kuua! Hiyo ni biashara yao halafu watasekaje!
Tuache kujifariji kwa hisia ambazo hazina mantiki.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu nafikiri hujanielewa. Soma hoja nzima usipende kuchukua maneno mafupi ili uijengee hoja yako na kupotosha ukweli wa taarifa nzima. Acha ufilauni wa kinjinga namna hiyo. Haikusaidii. Inakupa stress tu wewe na mimi mchangia hoja. Jibu hoja na usinifanye mambo ya kihunu kama punda.Mbona ni rahisi sana kuamini ukitaka kuamini.
Tafuta siku na mtu wako unayemuamini mwende pale porini akufanyie majaribisho kwenye mguu tu, isiwe sehemu nyingine yoyote.
Bila shaka utakuja hapa na mrejeo wa majaribio hayo.
Kati ya mimi na huyu aliyechangia hapa unadhani ni nani ana 'stress,' vinginevyo hujui maana ya neno 'stress' kama ulivyolitumia hapa.Mkuu nafikiri hujanielewa. Soma hoja nzima usipende kuchukua maneno mafupi ili uijengee hoja yako na kupotosha ukweli wa taarifa nzima. Acha ufilauni wa kinjinga namna hiyo. Haikusaidii. Inakupa stress tu wewe na mimi mchangia hoja
Zinazowatesa ni nafsi zao. Wakilala Lissu yupo, wakiamka Lissu yupo, wakisimama Lissu yupo, wakikaa Lissu yupo, wakitembea Lissu yupo yaani kwao kila mahali Lissu yupo. Hakukaliki, hakulaliki wala hakuliki...Lissu kawaandama. Hawa watu wanateseka si mchezo. Hata humu ndani ya JF wapo wanaoteseka kweli kweli.Kinachowatesa sio kwa sababu waliua bali kwa nini hawakuua.
Nawe acha hizo! Kwani huoni kuweweseka kunavyo endelea?Walitaka kumuua walifanya kitendo kibaya sana kiubinadamu.
Kusema wanateseka ni kujifariji tu kwa sababu kama kazi zao ni kuua kwa nini wateseke. Wao watakuwa wametimiza malengo ya kazi zao.
Ni sawa na kusema wanaotengeneza siraha wanateseka kwa sababu zinatumika kuua! Hiyo ni biashara yao halafu watasekaje!
Tuache kujifariji kwa hisia ambazo hazina mantiki.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Naunga mkono hoja, tena mpango wenyewe ni kama ule wa Masiya " ni kwa kupigwa kwake, sisi tuliponywa".Lissu ni mpango wa Mungu!
Sasa ndo umeandika ugolo gani?
Haya maswali yako ndio dalili hizo za kuteseka. Sikuoni lakini natanguliza pole kwa kuteseka kwako na utateseka sana.U.esema kwanini waliomumiminia risasi wanateseka? Swali una uhakika gani? Je unawajua? Je unawaona? Unayemuuliza ajibu anawajua na anaona wanavyioteseka?
Ndiyo maana nikasema "Acha ufilauni wa kinjinga namna hiyo. Haikusaidii. Inakupa stress tu wewe na mimi mchangia hoja. Jibu hoja na usifanye mambo ya kihunu kama punda."Kati ya mimi na huyu aliyechangia hapa unadhani ni nani ana 'stress,' vinginevyo hujui maana ya neno 'stress' kama ulivyolitumia hapa.
Ngoja nikudharau tu, kwa sababu sina muda wa kupoteza na watu aina yako.Ndiyo maana nikasema "Acha ufilauni wa kinjinga namna hiyo. Haikusaidii. Inakupa stress tu wewe na mimi mchangia hoja. Jibu hoja na usifanye mambo ya kihunu kama punda."
Sasa tumesha ipata hiyo Stress kwa sabu ulikuwa unaitafuta. Ungwjibu hoja kulingana ja hoja ilivyo kuwa ningekuwa tuna zungumzia Mambo mengine.
Yaani unataka kuniambia hata hiyo sentensi nayo hujaielewa? Wewe basi utakuwa kweli mpumnavu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenielewa vizuri sana kilicho andika, lakini kwa vile unakaidi kika kitu unaweza kuniuliza swali kama hilo.Wewe Umeandika uchuzi gani?
Kwa lipi ambalo unaweza kunizarau mimi? Wewe mnuka jasho la Bongo asiye yajua maisha anathubutu kunizarau mimi usiye nijua? Acha kuleta kashfa wewe! Unafikiri itakusaidia?Ngoja nikudharau tu, kwa sababu sina muda wa kupoteza na watu aina yako.
Kalamu1 kasema anakudharau...unajuaje hakujui wala hajakuona? Naona unazidi tu kuteseka, pole sana.Kwa lipi ambalo unaweza kunizarau mimi? Wewe mnuka jasho la Bongo asiye yajua maisha anathubutu kunizarau mimi usiye nijua? Acha kuleta kashfa wewe! Unafikiri itakusaidia?
Mimi siwezi kukuzarau wewe kwani sikujui na sijakuona. Nitazarau hoja zako kulingana endapo zitakuwa sio za msingi. Kwa hali hiyo siwezi mzarau mtu nisiyemjua kwani sijalelewa katika msingi hiyo. Changia hoja baada ya kusoma vizuri na kuielewa vizuri as a whole.
Miongoni ya wanaoteseka sana ni mgambilwanimtu na jmc06.......Zinazowatesa ni nafsi zao. Wakilala Lissu yupo, wakiamka Lissu yupo, wakisimama Lissu yupo, wakikaa Lissu yupo, wakitembea Lissu yupo yaani kwao kila mahali Lissu yupo. Hakukaliki, hakulaliki wala hakuliki...Lissu kawaandama. Hawa watu wanateseka si mchezo. Hata humu ndani ya JF wapo wanaoteseka kweli kweli.
Kwanza c ajabu hatunao tena misheni kubwa Kama ile ukipuyanga lazima wale kichwaNaam, walimmiminia risasi thelathini na nane (38) na kumi na sita (16) kati ya hizo zikatua mwilini mwake.
Naam, zilikuwa ni risasi za kumwangusha tembo na waliondoka hapo wakijua kazi waliyotumwa imemalizika.
Waliondoka hapo kwa haraka ya kufikisha habari njema hii kwa waliokuwa wakiwasubiri kwa hamu kubwa.
Walijua ujira na pongezi kubwa zilikuwa zikiwasubiri kwa kutekeleza kwa ufanisi mkubwa jukumu walilopewa.
Hapana shaka wakiwa njiani walijipongeza wakiwa na uhakika wa mapokezi makubwa yanayowasubiri.
Je kwa nini pamoja na yote hayo, waliomimina risasi wanaonekana kuteseka kuliko aliyemiminiwa risasi? Toa maoni...