Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Ndugu zangu,
Nimeona niliweke hili suala kwa uwazi. Nyakati fulani fulani zinadhihirisha jinsi ambavyo wanachama na viongozi wa vyama vya upinzani ni wafuasi na matawi ya CCM.
Nyakati hizi ni wafuasi wa Rais mpya Mh. Samia, kipindi JPM anaingia madarakani walidiriki kusema anatekeleza sera zao.
Sasa hivi wapo bize kutoa ushauri kwa Rais Samia eti "atelekeze yote na wote wa utawala uliomtangulia", ikumbukwe walimshauri JPM akawapuuza. Huwezi kuwatofautisha na asasi za kiraia.
Ni kama wanataka waonekane kuwa "wamempigania Samia kuwa Rais" eti bila wao "asingekuwa Rais" ndio maana kila kukicha wanakuja na hekaya "oooh mara CDF kafanya hivi, vile nk"
Nimalize kwa kusema "upinzani huu ni kwa CCM ni sawa na mbwa aliona chatu, analia huku anajipeleka kumezwa"
Nimeona niliweke hili suala kwa uwazi. Nyakati fulani fulani zinadhihirisha jinsi ambavyo wanachama na viongozi wa vyama vya upinzani ni wafuasi na matawi ya CCM.
Nyakati hizi ni wafuasi wa Rais mpya Mh. Samia, kipindi JPM anaingia madarakani walidiriki kusema anatekeleza sera zao.
Sasa hivi wapo bize kutoa ushauri kwa Rais Samia eti "atelekeze yote na wote wa utawala uliomtangulia", ikumbukwe walimshauri JPM akawapuuza. Huwezi kuwatofautisha na asasi za kiraia.
Ni kama wanataka waonekane kuwa "wamempigania Samia kuwa Rais" eti bila wao "asingekuwa Rais" ndio maana kila kukicha wanakuja na hekaya "oooh mara CDF kafanya hivi, vile nk"
Nimalize kwa kusema "upinzani huu ni kwa CCM ni sawa na mbwa aliona chatu, analia huku anajipeleka kumezwa"